Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

Kitambulisho changu kimekosewa jina yaani typing error ya aliyekuwa anafanya data entry nadhani, ila wakaniambia nilipie 20,000. Nikalipa nikafata taratibu zote. Toka 2019 mpaka leo sijaona sehem yoyote imebadilishwa. NIDA ni jipu
Kawashitaki mkuu

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana. Mwendazake alitamani nchi nzima isiwe na watumishi kabisa. Alikuwa anaumia sana kuona watu wanapata mishahara
Jamaa alikuwa ni shetani.
Huwezi kuwa binadamu ukawa na roho mbaya namna ile.
 
Kenge kabisa nyie NIDA naombea mfe kabisa kenge madoa nyie.
 
Back
Top Bottom