beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni miongoni mwa Nchi 10 za Afrika ambazo Uchumi unakua kwa kasi. Pia, imekuwa na utulivu wa Mfumuko wa Bei na Thamani ya Fedha.
Ameeleza, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6 mwaka 2015 hadi 26.2 mwaka 2020. Tumeweza kuingia Uchumi wa Kati Julai mwaka jana"
Amesema hayo katika Ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha Nchini.
Ameeleza, "Tumeona viashiria vya Maendeleo kwenye Maendeleo ya mtu. Tumeweza kupunguza kiwango cha umasikini kutoka 28.6 mwaka 2015 hadi 26.2 mwaka 2020. Tumeweza kuingia Uchumi wa Kati Julai mwaka jana"
Amesema hayo katika Ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha Nchini.