Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Balaa sn aliamini katika bundukiila hapakukalika alijikuta kalala bichi..ikabid mzee wa town J aingilie kati ndo hali ikawa shwar
Balaa sn aliamini katika bundukiila hapakukalika alijikuta kalala bichi..ikabid mzee wa town J aingilie kati ndo hali ikawa shwar
Acha kulalamikaAmewapuuza wazee wa Dodoma!
Kweli MSOGA style...Aisee..
Mzee Msoga style
Huku Dodoma Ni WagogoAmewapuuza wazee wa Dodoma!
😭😭😭
Huo Ni Ujanjaujanja Tu Wa CcmUtaratibu wa kuwapata hao wazee ukoje?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.
Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”
"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.
hata nyerere alikua na utaratibu wa kuongea na wazee wa Dar.. kama unafuatilia hotuba zake alishawahi kusema aliwa kuchinjiwa mnyama kuambiwa atambuke damu. hii ilikua kama tambiko kwa kijana wao wakati huo alikua na majukumu mazito ya kuirudisha tanzania kutoka kwa mkoloni.Kweli MSOGA style...
Kwaiyo tuamini ndio remote control holder?
Zungumza na baba yako umuhimu wa wazee wa ukoo.Hakuna lolote wanaendekezwa bure tu
Ushaliwa kichwa ww....MATAGA hawaonekani ni vumbi tu lina timka Mama songa mbele TUPO PAMOJA
Kwani Wazee wapo Dar Es Salaam TU?Zungumza na baba yako umuhimu wa wazee wa ukoo.
Hii nyongo kwa JPM kila uzi unalo hilo!Dikteta aliwadharau sn
Nasema hakuna namna lazima Lissu kuna kitu alikufanyia tu, sasa utake usitake lazima nikamshitaki Lissu ili ulipwe fidia yako, mkuu umeteseka sana juu ya Mwanaume huyo, inatosha sasa lazima haki yako ipatikane. AsanteMama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania.
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake...
JPM ndiyo dikteta?Hii nyongo kwa JPM kila uzi unalo hilo!