Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
dabi kwani inasemaje kuhusu kesho ?Tumefuka ukumbini toka saa saba na nusu mpaka muda huu hakuna lolote linaendelea.
Mpaka muda huu mama hajafika ukumbini na hakuna taarifa yoyote ile. Mwisho wa siku tumeanza kuongelea Dabi ya kesho tu. Wahusika kama mpo humu nawaambie hamtutendei haki kabisa