Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
Hapa ndio unaonyesha hauna akili
JPM kakaa wizara tajiri miaka kama 15 hivi.....angepende hela angekuwa bakhresa huyo
uwe una kaa na kufikiria na kamwe usimdhalilishe mama yako kukuzaa ukiwa na akili timamu
Be you, kufuata mkumbo kwenye platform kama hizi hakukupi furaha ya moyo ukajisimamia kama binadamu halis na sio sanamu
1,5 trillion angezichota tu hazina akiwa Waziri wa wizara yenye pesa.?! Ile wizara aliiba cha mboga tu na kuleta meli mbovu, MV Bagamoyo.
Vumilia tu mjane ukweli MCHUNGU.
Mtupoli mwizi alikua mwizi sana