King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,268
- 1,860
Nenda pale bulyanhulu au ggm ndo utaelewa tunachomanisha, pia tofautisha wasimamizi na wafanyakaziHuwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?