Rais Samia, nimeukubali msimamo wako. Hongera sana

Duh...!. Mkuu Maneno Meier , kumbe Bunge ndio linapitisha mikopo ya deni la taifa?!.

Umeleta hoja nzuri, muhimu na mujarab ya Helium, lakini ukaichafua hoja yako kwa kuichanganya na yale makorokocho ya Lissu, na ulipo ingiza na hoja ya deni la taifa ndio ukaharibu kabisa!.
Tangu lini deni la taifa linapitishwa na Bunge?. Mtu imeleta hoja nzuri na muhimu kama hii ya Helium with facts, figures and prospects kitendo cha kuingiza makorokocho, na kuzungumzia deni la taifa kwa kuonyesha ukilaza, kumepelekea ku I contaminate and washdown and undermine your intellect kwenye Helium kuonekana ume cut tuu mahali na ku paste, kwasababu haiwezekani mtu mwenye data na facts za jambo kubwa na muhimu kama hili la Helium linalohitaji akili kubwa kuwa tukichimba tuu Helium, Tanzania hatutahitaji kukopa, halafu hapo hapo ukaonyesha ukilaza kwa hoja ya deni la taifa kuidhinishwa na Bunge!, unakuwa hijaitendea haki hoja muhimu ya Helium.

Ushauri:
Ukiwa na hoja muhimu kama hii, iache hoja isimame yenyewe, usichangaye na makorokocho mengine, na kwa vile Watanzania wengi wanapenda zaidi makorokocho kuliko hoja za msingi, angalia michango ya bandiko hili kati ya watakao changia hoja muhimu ya msingi ya Helium na hayo makorokocho uliyoyaungenishia!.
Heri ya mwaka mpya.
P
Asante sana Pascal Mayalla kwa ushauri wako. Nitauzingatia. Natambua watanzania wengi kwenye technology ni Zero Brain. Wanadhani kuwa udaku wa kisiasa ndiyo msingi wa maendeleo ya nchi wakati kumbe Media za kiganjani ndiyo adui wa umasikini wao.

Sikumaanisha deni la Taifa isipokuwa mikopo ambayo serikali inataka kukopa ndiyo inayo paswa kupitia bungeni.
 
Siku hizi ili ionekane una mawazo mazuri, kwanza unapaswa uwaponde wapinzani, kisha unaanza kumwaga sifa zako! Unamwambia mama kuwa Lisu anadanganywa na wazungu, kisha unaweka picha za wazungu wakifanya utafiti.
Soma tena uelewe ndipo uje tena na hoja kamili.
 
Ukimfuatilia vizuri huyu jamaa, ni kama mtu aliyechanganyikiwa. Namfananisha na wale watu waliosoma kisha wakaanza kuwa ombaomba, lakini ukikutana naye ana mawazo mazuri. Sasa usishangae kumkuta amevaa suti na Malapa ya kuogea na kutembea na mavitabu makubwa yenye mitazamo ya kijamaa.
Ndivyo wanavyo fanya kwenu hivyo?
 
Maneno mengi, upuuzi mwingi, uelewa mdogo.

Inaonekana unachojua zaidi kusoma na kuandika, lakini uelewa wa mambo mengi, ni zero. Eti wachina wamewapiga wazungu na Waamerika, wakati viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji.

1. Yaani mpaka leo hujui kuwa China ndiyo inayoongoza kupata wawekezaji wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America.

2) Mpaka leo hujui kuwa bidhaa zote zinazokidhi ubora wa viwango vya Ulaya na America toka China ni zile tu zinazotengenezwa na makampuni ya Wazungu yaliyopo China na siyo makampuni ya wachina, na kwamba makampuni ya wachina ndiyo jayo yanayotengeneza bidhaa duni zinazokuja Afrika. Soko pekee la bidhaa duni za China ni Afrika.

3) Hujui kuwa japo Chija inaoiga hatua, mpaka leo ipo kwenye kundi la nchi zinazoendelea, Dunia ya pili, kutokana na kundinkubwa la watu wake kuwa maskini, na maisha duni.
Sawa, lakini ningekuomba ufanye utafiti zaidi, utatambua kitu gani kinacho mfanya mchina leo awe tajiri wa kupindukia.

Nakupa mfano wa MAGLEV Train. Wajerumani wamegundua hii type ya train, politically waka i-drop. Wachaina waka-acquire hiyo Technology na kui-implement kwao na sasa wachina wanaiuza hiyo Technology ulimwenguni. Wajapan wamesha anza na usafiri wa type hiyo. Nani wa kulaumiwa sasa?

Achana na fikra za kikale, wachaina wanatengeneza high quality products kuliko hata wazungu au makampuni ya kizungu. Mimi mwenyewe niko kwenye manufacturing industry nalijua hilo. Asikudanganye mtu na wala usiwe na Illusion.

Tatizo la wafanya biashara wa kiafrika wanakwenda China kununua bidhaa za hali ya chini ambazo waafrika wanaweza kuzimudu kulingana na kipato chetu. Kama kweli hali ingekuwa hivyo basi wa-european na wa-amerika wasingekuwa wanaagiza products kutoka China. Wachina hivi sasa wanawazidi waamerika hata kwenye mambo ya Chips-technology. Acha kuwa na mawazo potofu. Jiongeze kidogo!
 
Wanasiasa wa Tanzania hawana mawazo mbadala, wengi wao shida yao ni kukosoa wapate popularity ili dola ichukiwe na wao wapate urahisi wa kushika dola.... sikawahi kuona mawazo mbadala ambayo yako supported na data zaidi ya kelele za oyaoya za kuleta taharuki...
 
Asante sana Pascal Mayalla kwa ushauri wako. Nitauzingatia.
Sikumaanisha deni la Taifa isipokuwa mikopo ambayo serikali inataka kukopa ndiyo inayo paswa kupitia bungeni.
Hakuna mkopo wewete ambao Tanzania ikitaka kukopa, unapitia Bungeni!.
Serikali kazi yake ni kutafuta mapato, na kupanga matumizi, kazi ya Bunge ni kupitisha bajeti ya matumizi ya serikali na sio mapato ya serikali, na CAG kazi yake na Mdhibiti kwa kuidhinisha matumizi kutoka mfuku mkuu wa hazina, na baada ya kuidhinisha, jukumu lake la pili ni kufanya ukaguzi wa matumizi ya serikali, na huku kwenye matumizi, ndipo deni la taifa linako ibukia!.

Serikali inapokopa, haimwambii yoyote, na wala haiombi idhini ya kukopa kwa yeyote na wala Bunge haliidhinishi mikopo yoyote.

Kipindi chote cha JPM alikuwa anasema tunajenga miradi mikubwa ya kimkakati kwa fedha za ndani, lakini ukweli ni kuwa, JPM alikuwa anakopa kwa siri, bila kumweleza yeyote amekopa wapi, kiasi gani, kwa masherti gani na ni mkopo wa kufanyia nini. Siku zote wakati hayo yakifanyika, Spika alihamasisha wabunge waishangilie tuu serikali na sio kuihoji!

Leo rais Mama Samia, akipata mkopo, amekuwa muwazi kwa kusema ni mkopo wa nini, kiasi gani, umekopwa wapi na unafanyia nini!, badala ya kupongezwa ndio kwanza Samia anashutumiwa eti kuna siku nchi itapigwa mnada!, na anayesema hayo of all the people ni Spika!, yule yule aliyenyamazia mikopo ya siri ya JPM, ndio leo anapigia mayowe mikopo ya uwazi ya mama Samia!. Lazima watu tumshangae.
P
 
Umewezaje kuandika upumbafu mrefu hivi!! Hoja huna ulichoandika kimejawa unafiki,uzandiki,ujinga na ushamba alafu kunadalili umesomasoma sasa ulisomea bachela za upuuzi na uzwazwa?
1. Spika anampinga raisna anataka asimalize miradi,tozo gani na kwamuda gani zitajenga mareli,mamidaraja,manyerere dam etc
Kutetea uovu no ushetani
2. Lissu ameleta hoja gani kuhusu wazungu? Wewe helium iyopicha no mmasai? Lissu kapigania mangapi tunayoona Leo kuanzia sheria mbovu,mikataba yahovyo,kukopa hovyo,ufisadi,haki za watu wachini,binge lenyemeno,uwajibikaji nk.
Kupinga mema ni ushetani
3. Madini yoote tulonayo hayatufaidi vyema we we unakimbilia mengine yaweexploited kabla haya tuliyonayo hatujajipanga?? Gesi tunayo tumefaidije? Mererani pakoje,geita,kahama,chunya koote kumeendelea?
Ujinga no ushetwani
Mengine uloandika sijasoma nimeruka maana nitachafua akili yangu kwa kusoma upuuzi mwingi uloandika.
Sijui unawezaje kuwa na ujinga mwingi hivi na unavuka barabara!! Ulitakiwa uwe umefungiwa pale mirembe chumbachako mwenyewe ukila dawa kali.
Kabla ya kutoa povu lako ningekuomba kwanza kusoma kwa mikini nilichokiandika. Alafu please jaribu kueleza kitu kiasi kwamba unaye jaribu kumweleza hisia zako akakuelewa. Nimeshindwa kutambua nini mchango wa hoja yako. Je, unaweza rudia ulicho kiandika?
 
Hakuna mkopo wewete ambao Tanzania ikitaka kukopa, unapitia Bungeni!.
Serikali kazi yake ni kutafuta mapato, na kupanga matumizi, kazi ya Bunge ni kupitisha bajeti ya matumizi ya serikali na sio mapato ya serikali, na CAG kazi yake na Mdhibiti kwa kuidhinisha matumizi kutoka mfuku mkuu wa hazina, na baada ya kuidhinisha, jukumu lake la pili ni kufanya ukaguzi wa matumizi ya serikali, na huku kwenye matumizi, ndipo deni la taifa linako ibukia!.

Serikali inapokopa, haimwambii yoyote, na wala haiombi idhini ya kukopa kwa yeyote na wala Bunge haliidhinishi mikopo yoyote.

Kipindi chote cha JPM alikuwa anasema tunajenga miradi mikubwa ya kimkakati kwa fedha za ndani, lakini ukweli ni kuwa, JPM alikuwa anakopa kwa siri, bila kumweleza yeyote amekopa wapi, kiasi gani, kwa masherti gani na ni mkopo wa kufanyia nini. Siku zote wakati hayo yakifanyika, Spika alihamasisha wabunge waishangilie tuu serikali na sio kuihoji!

Leo rais Mama Samia, akipata mkopo, amekuwa muwazi kwa kusema ni mkopo wa nini, kiasi gani, umekopwa wapi na unafanyia nini!, badala ya kupongezwa ndio kwanza Samia anashutumiwa eti kuna siku nchi itapigwa mnada!, na anayesema hayo of all the people ni Spika!, yule yule aliyenyamazia mikopo ya siri ya JPM, ndio leo anapigia mayowe mikopo ya uwazi ya mama Samia!. Lazima watu tumshangae.
P
Asante sana kwa ufafanuzi wako mzuri na ulio shiba Mr. Mayalla, lakini hata hivyo nina maswali bado ya kukuuliza.

Sasa Mr. Mayalla kama Bunge ndilo linalo pitisha bajeti ya matumizi ya serikali kulingana na maelezo yako, je, kwenye hiyo bajet ya matumizi ya serikali hiyo mikopo ya ku-finance miradi mikubwa kama ya SGR na Bwawa la Nyerere nayo imekuwa included?

Na kama inavyoelewaka kuwa CAG ni whatchdog wa Bunge wa matumiza ya serikali, inakuwaje Spika anashindwa kutambua kuwa kwenye hiyo Bajet matumizi yame exceed mapato ya taifa?

Umesema kwamba: "Serikali inapokopa, haimwambii mtu yoyote, na wala haiombi idhini ya kukopa kwa yeyote na wala Bunge haliidhinishi mikopo yoyote." Spika wa Bunge anapata wapi taarifa kuwa serikali imekopa kiasi fulani cha pesa, ili kugharamia miradi ya maendeleo?

No, sio kweli, nafikiri ume m-qoute JPM vibaya alipokuwa anasema kuwa tunajenga miradi yetu mikubwa ya kimkakati kwa fedha za ndani. Kwenye SGR kwa mfano, alikuwa daima akiimba kuwa tumeanza kujenga huu mradi kwa pesa zetu za ndani baada ya wakopeshaji kukataa au kutuwekea sisi masharti magumu na ya ovyo. Baada ya kuona tumeanza na tuna maanisha kweli tulicho dhamiria ndiyo wkaabza kuja kutumwagia pesa.

Kuna baadhi ya miradi kama ya barabara na madaraja hiyo tumekuwa tukitumia fedha zetu za ndani, toka enzi ya Hayati Rais Mkapa. Mbona hiyo inajulikana?


Hii kusema JPM alikuwa anakopa kwa siri, bila kumweleza mtu yeyote yule amekopa wapi, kiasi gani, kwa masharti gani na ni mkopo wa kufanyia nini, hiyo bado haija kaa vizuri. Ningekuomba ufanuzi mzuri nami nikaelewa inakuwaje?
 
Mwendazake ameacha legacy mbaya sana ya viongozi waliopo madarakani pamoja na wapambe wao wa chama kongwe kukumbwa na hofu isiyo kifani kiasi ya kuwa wakisikia mawazo mbadala ya kusaidia nchi wanaingiwa na hofu kuu iliyoambatana kulaani bila sababu ya msingi sauti zenye jumbe kama za Tundu Lissu.

Wafia-legacy ni waoga sana, wakielezwa ukweli au hoja mbadala bora zaidi wanakimbilia kichaka cha "Uzalendo wao wa Juu" kuifia nchi. Hakika imebaki mwendazake ajengewe sanamu na kutamkwa kuwa ni kuhani mkuu wa "dini" pekee inayoweza kutetea wanyongwe wanaokandamizwa na mfumo huo huo aliotengeneza kuongeza kundi la watu wasioweza kujisemea au kutafakari kisha akawatumia kuendelea kuwa jeshi la kupigania legacy ya mwendazake


Dhana ya Mzalendo mhafidhina / The Superpatriotism by Michael Parenti

"The superpatriot's America is a simplified ideological abstraction, an emotive symbol represented by other abstract symbols like the flag. It is the object of a faithlike devotion, unencumbered by honest history. For the superpatriot, those who do not share in this uncritical Americanism ought to go live in some other country."

With great spunk, the author covers some of the major ideas and activities of superpatriots: their advocacy of slogans such as "America — Love It or Leave It"; the importance of being "Number One"; and the maintenance of an aggressive policy Superpatriotism by Michael Parenti | Review | Spirituality & Practice

11 April 2020

Michael Parenti: "Super Patriotism vs Real Patriotism" (1988)


Source : AfroMarxist
 
Sycophancy on duty.

Umtetee Ndugai umlaumu Lissu hakuna mtanzania atakusikiliza. Ukitaka kuendelea kubali mawazo mbadala! Mmewanyima watu uhuru wa kufanya siasa karne 21 njia ziko nyingi za kufikisha ujumbe
Acha kelele zako za misituni. Hayo ni mawazo ya mtu aliyekosa maarifa wakati kuna kila kitu kinacho mzunguka chenye tija kwake na taifa lake.

Sijaelewa kwanini swala la ukombozi wa kisiasa kwako ni kubwa mno kuliko hata mada ya maendeleo kwa njia ya rasilimali zetu.

Nyie wote ni kama kiwete wenu anayetaka kuwa Rais wa watanzani mmenaswa katika mtego wa kifikra ambao mnangojea miracles zitokee ili muweze kujinasua.

Watanzania nafikiri hivi sasa ndiyo mnaanza kutoka mapangoni mliko jificha mda wote na kujifunza vita vya kisiasa ambavyo wenzenu walikwisha vipuuza, kwani havija wasaidia chochote, matokeo yake yamekuwa kero na kupoteza maisha pasipo na msingi.

Vita vya kisasa vya ukombozi wa kisiasa havipiganwi nje ya nchi kwa kutumia nguvu za Predators bali hupiganwa ndani kwa kutoa arguments ambazo zitawa-convince wananchi kuparticipate.

Kutumia predators kwenye ulimwengu wa leo ni kupoteza mda kwani, mbinu zote ambazo mabeberu wamekuwa wakizitumia mda wote huo, wananchi wanazijua na wako angainst them.

Ningemshauri Comandors wenu Lissu na Lemma warudi waje watumie jukwaa la ndani ku-fight hiyo battle ya kubadili katiba na sio kuwa traitors.

Miaka mingi ya NGOs na misaada ya wazungu isiyo na tija kwetu hivi sasa watanzania na waafrika kwa ujumla wameishitukia, kwani unafuu wa maisha ambayo walikuwa wanatuahidi umetokea kuwa janga kwa famillia nyigi za kiafrika.

Angalia mwenyewe DRC ambako wamemweka kibaraka wao. Rasilimali zao zina zidi kuibiwa siku hadi siku wakati wenye rasilimali hizo wanazidi kuteseka.

Sisi hatutaki litutokee hilo kwa kuhakikisha kuwa Lissu na wasaliti wengine hawashiki dola.
 
🤡🤡🤡
16411427153840.jpg
mnuy65432.jpg
 
Acha kelele zako za misituni. Hayo ni mawazo ya mtu aliyekosa maarifa wakati kuna kila kitu kinacho mzunguka chenye tija kwake na taifa lake.

Sijaelewa kwanini swala la ukombozi wa kisiasa kwako ni kubwa mno kuliko hata mada ya maendeleo kwa njia ya rasilimali zetu.

Nyie wote ni kama kiwete wenu anayetaka kuwa Rais wa watanzani mmenaswa katika mtego wa kifikra ambao mnangojea miracles zitokee ili muweze kujinasua.

Watanzania nafikiri hivi sasa ndiyo mnaanza kutoka mapangoni mliko jificha mda wote na kujifunza vita vya kisiasa ambavyo wenzenu walikwisha vipuuza, kwani havija wasaidia chochote, matokeo yake yamekuwa kero na kupoteza maisha pasipo na msingi.

Vita vya kisasa vya ukombozi wa kisiasa havipiganwi nje ya nchi kwa kutumia nguvu za Predators bali hupiganwa ndani kwa kutoa arguments ambazo zitawa-convince wananchi kuparticipate.

Kutumia predators kwenye ulimwengu wa leo ni kupoteza mda kwani, mbinu zote ambazo mabeberu wamekuwa wakizitumia mda wote huo, wananchi wanazijua na wako angainst them.

Ningemshauri Comandors wenu Lissu na Lemma warudi waje watumie jukwaa la ndani ku-fight hiyo battle ya kubadili katiba na sio kuwa traitors.

Miaka mingi ya NGOs na misaada ya wazungu isiyo na tija kwetu hivi sasa watanzania na waafrika kwa ujumla wameishitukia, kwani unafuu wa maisha ambayo walikuwa wanatuahidi umetokea kuwa janga kwa famillia nyigi za kiafrika.

Angalia mwenyewe DRC ambako wamemweka kibaraka wao. Rasilimali zao zina zidi kuibiwa siku hadi siku wakati wenye rasilimali hizo wanazidi kuteseka.

Sisi hatutaki litutokee hilo kwa kuhakikisha kuwa Lissu na wasaliti wengine hawashiki dola.

..@Pascal Mayalla amekushauri usichanganye hoja za maendeleo, uwekezaji, teknolojia, na masuala au mashambulizi ya kisiasa, au dhidi ya wanasiasa na vyama.

..Ni ushauri mzuri sana na kama ungeuzingatia ungesaidia kufikisha elimu na maarifa kwa wasomaji wengi.
 
Sisi tumemwelewa. Lakini Joe Beiden akifanya hivyo, kwenu ni uungwana. Jiongezeni ndugu zangu. Rais ni binadam na sio Roboter.
Unamsemea wewe kama nani?Yeye mwenyewe alishadai kuwa ni Robot kwa kuwa alisema kuwa Rais hakosei.Sasa tukuamini wewe au tumwamini yeye?
O1r.jpg
 
Mwendazake ameacha legacy mbaya sana ya viongozi waliopo madarakani pamoja na wapambe wao wa chama kongwe kukumbwa na hofu isiyo kifani kiasi ya kuwa wakisikia mawazo mbadala ya kusaidia nchi wanaingiwa na hofu kuu iliyoambatana kulaani bila sababu ya msingi sauti zenye jumbe kama za Tundu Lissu
hakika hujielewi
 
Back
Top Bottom