Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,879
Ile treatment ya uraisi hata uwe mgumu kiasi gani huwez acha kizembeHata mwendazake alikuwa anasema amesukumizwa,hakujiandaa na anasema mumiombee Kazi ya Urais ni ngumu Sana,uliwahi msikia akisema ataondoka madarakani?
😄😄 Usiwaamini wanasiasa.