Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa ataka CCM kuchapisha fomu moja tu kwa ajili ya Rais Samia. Kinana amuunga mkono

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,301
9,729
Ndugu zangu Watanzania,

Nashukuru kuwa viongozi wetu wakubwa ngazi ya Taifa chamani na serikalini wameanza kutambua kiu ya mamilioni ya watanzania waliyo nayo ya vifuani pao ya kuhitaji utumishi wa Rais Samia kwa mhula wa pili.

Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni waziri Mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amemuomba makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mh Kinana kwenda kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM Taifa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.

Jambo ambalo Mh kinana aliliunga mkono kwa kutambua kazi kubwa iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan,akasema ni utamaduni wa CCM kumpa muhula wa pili kiongozi anayekuwa amemaliza muhula wake wa kwanza .akasema ameona kila mtu anayesimama kuzungumza anazungumza namna Mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika Taifa letu.

Mimi mwashambwa nimewahi kuzungumza humu jukwaani kuwa wanaccm wanapaswa kukata kiu ya watanzania kwa kuwapa chaguo na hitaji lao Ambalo ni Rais Samia. CCM itawakatisha Sana tamaa , kuwavunja moyo na kuwabubujisha sana machozi Watanzania isipowapelekea Rais Samia kama mgombea wake.

Watanzania wanamhitaji Rais Samia.huyo ndio chaguo lako,.ndio chaguo la vijana,akina mama,wazee, bodaboda,waendesha bajaji,wakulima, wafanyabiashara,wanafunzi wa vyuo, watumishi wa umma.n.k.

CCM Haina budi kusikiliza sauti za watu zinazoendelea kupazwa zikimhitaji Rais samia muhula wa pili. Huyo ndiye ambaye atapewa kura za ndio kwa kishindo kitakachoitikisa Tanzania nzima. CCM tuleteeni Rais Samia kukata kiu yetu watanzania.CCM tuleteeni chaguo letu Rais Samia.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashukuru kuwa viongozi wetu wakubwa ngazi ya Taifa chamani na serikalini wameanza kutambua kiu ya mamilioni ya watanzania waliyo nayo ya vifuani pao ya kuhitaji utumishi wa Rais Samia kwa mhula wa pili.

Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni waziri Mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amemuomba makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mh Kinana kwenda kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM Taifa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.

Jambo ambalo Mh kinana aliliunga mkono kwa kutambua kazi kubwa iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan,akasema ni utamaduni wa CCM kumpa muhula wa pili kiongozi anayekuwa amemaliza muhula wake wa kwanza .akasema ameona kila mtu anayesimama kuzungumza anazungumza namna Mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika Taifa letu.

Mimi mwashambwa nimewahi kuzungumza humu jukwaani kuwa wanaccm wanapaswa kukata kiu ya watanzania kwa kuwapa chaguo na hitaji lao Ambalo ni Rais Samia. CCM itawakatisha Sana tamaa , kuwavunja moyo na kuwabubujisha sana machozi Watanzania isipowapelekea Rais Samia kama mgombea wake.

Watanzania wanamhitaji Rais Samia.huyo ndio chaguo lako,.ndio chaguo la vijana,akina mama,wazee, bodaboda,waendesha bajaji,wakulima, wafanyabiashara,wanafunzi wa vyuo, watumishi wa umma.n.k.

CCM Haina budi kusikiliza sauti za watu zinazoendelea kupazwa zikimhitaji Rais samia muhula wa pili. Huyo ndiye ambaye atapewa kura za ndio kwa kishindo kitakachoitikisa Tanzania nzima. CCM tuleteeni Rais Samia kukata kiu yetu watanzania.CCM tuleteeni chaguo letu Rais Samia.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mods unganisha huu Uzi hapa Majaliwa & Kinana: Washauri CCM itoe Fomu 1 ya Mgombea Urais 2025.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashukuru kuwa viongozi wetu wakubwa ngazi ya Taifa chamani na serikalini wameanza kutambua kiu ya mamilioni ya watanzania waliyo nayo ya vifuani pao ya kuhitaji utumishi wa Rais Samia kwa mhula wa pili.

Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni waziri Mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amemuomba makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mh Kinana kwenda kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM Taifa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.

Jambo ambalo Mh kinana aliliunga mkono kwa kutambua kazi kubwa iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan,akasema ni utamaduni wa CCM kumpa muhula wa pili kiongozi anayekuwa amemaliza muhula wake wa kwanza .akasema ameona kila mtu anayesimama kuzungumza anazungumza namna Mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika Taifa letu.

Mimi mwashambwa nimewahi kuzungumza humu jukwaani kuwa wanaccm wanapaswa kukata kiu ya watanzania kwa kuwapa chaguo na hitaji lao Ambalo ni Rais Samia. CCM itawakatisha Sana tamaa , kuwavunja moyo na kuwabubujisha sana machozi Watanzania isipowapelekea Rais Samia kama mgombea wake.

Watanzania wanamhitaji Rais Samia.huyo ndio chaguo lako,.ndio chaguo la vijana,akina mama,wazee, bodaboda,waendesha bajaji,wakulima, wafanyabiashara,wanafunzi wa vyuo, watumishi wa umma.n.k.

CCM Haina budi kusikiliza sauti za watu zinazoendelea kupazwa zikimhitaji Rais samia muhula wa pili. Huyo ndiye ambaye atapewa kura za ndio kwa kishindo kitakachoitikisa Tanzania nzima. CCM tuleteeni Rais Samia kukata kiu yetu watanzania.CCM tuleteeni chaguo letu Rais Samia.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Haaa mzanzibar kutawala bara big no ....atapata tabu sana watu tumemvumilia kwa sababu ya kifo cha jpm tu ila hatuko tayari kuvumilia upumbavu zaidi....hofu ya kifo cha jpm ndiyo kinamsumbua mzanzibar maana anaogopa kesi ya uhaini
 
Si karejesha demokrasia nchini? Atakataa huo ushauri wa kidikteta.😁.
 
Kidumu chama cha mapinduzii ingengua swala la ajabu kuchapisha form zaidi ya moja awamu hii hata wapinzani Wana furaha
F_CM5RmXYAAzxD7.jpeg
 
Haaa mzanzibar kutawala bara big no ....atapata tabu sana watu tumemvumilia kwa sababu ya kifo cha jpm tu ila hatuko tayari kuvumilia upumbavu zaidi....hofu ya kifo cha jpm ndiyo kinamsumbua mzanzibar maana anaogopa kesi ya uhaini
Ondoa ujinga wako hapa .Sisi sote ni watanzania.wewe kama ni lihamiaji haramu nakushauri urejee haraka sana kwenu.lakini sisi watanzania chaguo letu ni Dr Samia Suluhu Hasssan kutuongoza kwa muhula wa pili tena.
 
Si karejesha demokrasia nchini? Atakataa huo ushauri wa kidikteta.😁.
Wana CCM Ndio wanaotaka iwe hivyo na hakuna mwana CCM yeyote atakayechukua Fomu ya Urais,maana kila mmoja anajuwa kuwa utamaduni wa CCM Ni lazima mtu amalizie muhula wake wa pili.
 
Ondoa ujinga wako hapa .Sisi sote ni watanzania.wewe kama ni lihamiaji haramu nakushauri urejee haraka sana kwenu.lakini sisi watanzania chaguo letu ni Dr Samia Suluhu Hasssan kutuongoza kwa muhula wa pili tena.
Embu ficha mpumbavu wako huko Mimi Mtanzania ila huyu mama urojo big no .
Kama unamkubali ni wewe tu na maupumbavu yako
Usigeneralize eti sisi watànzania ,mjinga sana wewe jamaa halafu utakuwa shoga wewe sio bure
 
Embu ficha mpumbavu wako huko Mimi Mtanzania ila huyu mama urojo big no .
Kama unamkubali ni wewe tu na maupumbavu yako
Usigeneralize eti sisi watànzania ,mjinga sana wewe jamaa halafu utakuwa shoga wewe sio bure
Wewe ni lihamiaji haramu .huo ndio ukweli maana hatuna mtanzania mwenye akili kisoda kama yako
 
Huu ubabe sasa. Unachapishaje fomu moja wakati ni demokrasia kila mwana CCM ana haki ya kugombea urais?
 
Back
Top Bottom