Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea Tanzania

Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea Tanzania

mkunga wa jadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2025
Posts
208
Reaction score
431
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
Scarcism
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
1766640011682.jpg
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
Faki zati bichi.
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
Tuondolee upuuzi wako hapa, naona unatafuta kuonwa na Abduli tu
 
Mzee kipele kinawasha?
Acha usese, huyo mama kaua ndugu zetu, kawazika bila staha.

Hakuna atakachofnya tukamuelewa, kama umekunwa na ulajisikia vzuri kaa kimya.
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
Heri ya sikukuu ya Xmass.
 
Heri ya sikukuu ya Xmass.
Sahihi ni Christmas Kiswahili Krismasi. Ukiweka Xmass Maana yake unakataa uwepo wa Kristo kwenye hiyo Mass. Walioanzisha hii Xmass lengo lao lilikuwa ni kutoa neno Christ kwenye Christmass. Kwa ufupi ni Wapinga Kristo. Wanapinga uwepo wa Kristo. Hivyo tusiingie kwenye mtego wao hao wapinga Kristo
 
Rais Samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea katika nchi hii huyu ndiyo mimi namuweka namba moja kiukweli kwa haya mambo ambayo amefanya kwa muda mchache sana mambo yameonekana kiukweli Rais Samia ameweza kuunganisha au kuleta umoja wa kitaifa kati ya waislamu na wakristo lakini pia ameweza kuleta umoja wa kitaifa kati ya wapinzani na wale watu wa Chama tawala na pia ameweza kuleta amani kwa sasa watu wanapiga kazi na pesa inaonekana mtaani kusema ukweli.

Sisi wakristo leo kwenye kanisa letu huku Useri Rombo tumeweza kumuombea ili azidi kupiga hatua na kuweza kuleta maendeleo ili nchi yetu iweze kupiga hatua za kimaendeleo kwenye hii nchi yetu nani kama Rais Samia? Rais bora kuwahi kutokea katika taifa hili la Tanzania mpaka dunia mzima inazidi kuimba jina lake na kumpomgeza kwa mambo ambayo amefanya Rais huyu mzalendo,mpambanaji,mbeba maono na game changer.

Wenzangu wakristo tuendelee kumpa moyo huyu Rais wetu Samia asiyekuwa mdini wala asiyekuwa mbaguzi

# karibuni Rombo tupige mambo merry Christmas 🎄 🎄 na Rais Samia tuendelee kumuombea katika siku hii ya Christmas#

Mkunga wa jadi,
Kwasasa
Useri,Rombo Kilimanjaro.
Ukisoma between the lines utajua ni kwa kiwango gani umemsanifu huyo muuaji.
 
Back
Top Bottom