Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Wasalimie hapo Chato.
Kaona pesa zipo hazina na hajui Kama magufur alikomaa kuzitafuta .Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Ccm ilikuwa imeshikwa na polisi, Tissi na jeshi. Hakuna kingine.Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Nikusahihishe tu, awamu ya nne hakukuwa na magwiji wa siasa bali ufisadi suguSisi kama Wapinzani tunamuogopa Mama zaidi kuliko hata yule chizi,Mama anakura za akinamama wengi Mama utawala wake Softi Softi utapendwa na wengi
Tena akiyarudisha magwiji ya Siasa ya Awamu ya Nne kwenye nafasi za uongozi wa CCM itakuwa ni Sera kwa Sera
Mama ananitisha sana kuliko Mwenda.
CCM iuliwe na chama gani?. Hakuna chama cha upinzani tena, wote wanajiunga na CCM kumsapoti Rais mama Samia.Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Weka matako vizuri sindano ikuingie, na usisahau kurudi umalizie doziNi suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Siasa ni Ugali mezani Siasa za njaa sio SiasaNikusahihishe tu, awamu ya nne hakukuwa na magwiji wa siasa bali ufisadi sugu
Yna akili ndogo kama JiweNami naamini hivyo baada ya kumsoma hotuba zake tatu, ya cag ya kuapisha mawaziri na ya leo.
Ndio hapa upinzani watapata chansi yao.
Kwanza mama anaenda tengeneza makundi ndani ya makubwa ndani ya chama ambayo tayari ni silaha kwa upinzani, Kupona itakua ngumu sana, pili anaenda rudisha nchi enzi za UNANIJUA MIE NANI?
Kwahiyo wewe upeo wako ndio ulipoishia hapa, kwamba mheshimiwa rais akipendwa na wapinzani kwako wewe ni tatizo? A weak mind is tantamount to garbage, so is yours.Upo kwenye mawazo yangu. Ndo maana wapinzani wanamshabikia sana
IQ za Mataga zinafanana zote ziko below 40Kwahiyo wewe upeo wako ndio ulipoishia hapa, kwamba mheshimiwa rais akipendwa na wapinzani kwako wewe ni tatizo? A weak mind is tantamount to garbage, so is yours.
1.Watu ambao wanasubiria kunyongwaHivi wanyonge ni watu gani?