ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
ChademaKuiua alafu nani anachukua nchi? Chadema? Act??
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
ChademaKuiua alafu nani anachukua nchi? Chadema? Act??
Oohh mbavu zangu!!.ulichoandika siyo kweli,wewe hujui kitu.Tungeendelea kutekeleza misimamo ya watanzania nchi ingeanguka.kwani unafikiri CCM ilikuwa hai? ilishakufa ila ilikuwa inaishi kwenye "ventillator" ambazo ni TISS,POLICE,TUME nk
Kabisa, tena nilisoma na Kinana.Wewe mbona nakuona ni mzee kuliko mimi?
Mama amejipambanua kuwa ni rais wa Watanzania na si wa wanyonge peke yao. Watanzania tulio wengi tunafurahia na tunamuunga mkono.Mama anatafutwa kupendwa na kila MTU, which is impossible kwa wanadamu tulivyo wanafiki hasa wabongo tuliozea upigaji badala ya kupata kipato kwa uhalisia wako.
Hapa raia wanamlia timing tu atakapokuja kushituka, itakuwa too late,ngoja tuone, tutarudi zama za ruksa na jk.
Kwa udhamini wa Chato Empire.
Hivi nyie Mataga mnafikiria kwa kutumia nini hivi? Kwann Marehemu aliwaharibu sana akili nyie?
1. Wewe watu wakilipa kodi kwa haki ndio wanakuwa sio wanyonge?
2. Kuvifungia vyombo vya habari kwa sababu vimeruhusu mawazo mbadala ndio unyonge unaotakiwa?
Nyie kwenu unyonge hivi mnauchukuliaje hivi?
Kwann mnqchanganyikiwa kabisa na uongozi wa mama wa watu? Hebu acheni ujinga basi
Ukweli ni kwamba hakuna mtu ndani ya CCM alifurahia mibano ya JPM. Mama Samia kuruhusu ubwerere ndio utampa nguvu zaidi ya kukubalika ili tu watu wajilie vyao. Hata wewe hutofurahia kubanwa banwa na ukipata mtu akakuachia huru utampenda tu.Mama Samia Amekalia kuti Kavu anawaregezea kamba wale Watu ambao Mtangulizi wake aliwatumbuwa Majipu? Watamuangusha muda sio mrefu.
Wewe itakua mchawi au mtoto wa mchawi,ukiona vipi jiue ukakae n marehemu aheraNi suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Nami naamini hivyo baada ya kumsoma hotuba zake tatu, ya cag ya kuapisha mawaziri na ya leo.Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Wafanyabiashara na wewe imarisha mifumo yako ya Kutoz kodiNi suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Imekuwa kitambo sana mheshimiwaHivi wanyonge ni watu gani?
Tusibaguane kwa vyama vipi alivyokuwa akimaanisha huyu dikiteta
Watu waliichoka sana CCM, afadhali huyu Mama ameonekana japo kwa kauli tu anaanza kuleta nafuu kwa wananchi.Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!