Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,342
- 8,267
- Thread starter
- #161
Ahsanteni nyote kwa michango yenu
LinkedIn Login, Sign in | LinkedIn
Login to LinkedIn to keep in touch with people you know, share ideas, and build your career.www.linkedin.com
Kundi la chawa wanawaza matumbo Yao tu, Mwisho watasema Mungu alikosea kumfukuza Adamu kwenye bustani kwa sababu M7ngu hakutumia demokrasia wakati wanamkumbatia Halina MdeeAmwajiri kwenye makampuni yake🚶
Kundi la chawa wanawaza matumbo Yao tu, Mwisho watasema Mungu alikosea kumfukuza Adamu kwenye bustani kwa sababu M7ngu hakutumia demokrasia wakati wanamkumbatia Halina Mdee
Ahsante sana kwa mchango mzuri boss, natumai ataufanyia kazi boss.Hiyo CV ndefu ya uhandisi wa mafuta na gesi haitomsaidia kwa hili.
Bora hata angekuwa msanii wa bongo fleva atunge wimbo uitwao “mbupu”.
Boss kwanini uliongea hivi.Hiyo CV ndefu ya uhandisi wa mafuta na gesi haitomsaidia kwa hili.
Bora hata angekuwa msanii wa bongo fleva atunge wimbo uitwao “mbupu”.
Ni kweli boss ahsante kwa ushauri wako. Nitaufikisha huu ujumbe.Hapa duniani watu hujitangaza kwa utendaji wao, na sio kutangazwa kama bidhaa za dukani zisizo na mdomo, hivyo usimshushie heshima kwa kumgeuza bidhaa huyo Elia wako.
Mwambie huyo jamaa yako atafute sehemu ya kuanzia, aanze kutengeneza jina lake kuanzia hapo, akifaulu hapo, sifa za utendaji wake zitaenea duniani kote na anaweza akapata kazi nzuri zaidi ya huo ukuu wa wilaya unaotaka apewe.Ni kweli boss ahsante kwa ushauri wako. Nitaufikisha huu ujumbe.
sawa boss, ahsante sanaMwambie huyo jamaa yako atafute sehemu ya kuanzia, aanze kutengeneza jina lake kuanzia hapo, akifaulu hapo, sifa za utendaji wake zitaenea duniani kote na anaweza akapata kazi nzuri zaidi ya huo ukuu wa wilaya unaotaka apewe.
Hivi boss hapa ulikua na maana gani.Kundi la chawa wanawaza matumbo Yao tu, Mwisho watasema Mungu alikosea kumfukuza Adamu kwenye bustani kwa sababu M7ngu hakutumia demokrasia wakati wanamkumbatia Halina Mdee
Kapicha baaasAcha kelele wewe mwache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania ,
Mzalendo wa kwelii ,mwenye upendo wa dhati na nchi hii atutumikie watanzania.
Pia Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu pekee na siyo kujipigia promo
Kesha tVipi ameteuliwa?? Au tutakutana nae DODOMA kwenye Usaili wa TPDC wa PSRS???
Kesha teuliwa tayariVipi ameteuliwa?? Au tutakutana nae DODOMA kwenye Usaili wa TPDC wa PSRS???
TPDC wametangaza kazi ngapi? Ulizihesabu??Vipi ameteuliwa?? Au tutakutana nae DODOMA kwenye Usaili wa TPDC wa PSRS???
Saivi anafanya tafiti boss; Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water InjectionVipi ameteuliwa?? Au tutakutana nae DODOMA kwenye Usaili wa TPDC wa PSRS???
Aliteuliwa bossVipi ameteuliwa?? Au tutakutana nae DODOMA kwenye Usaili wa TPDC wa PSRS???
Wenye ndoto hiyo mbona wengi tu, na kwavile wote lengo lao ni moja kutumiakia taifa akipata mwingine siatafurahi?Boss sio mm, nampigia promo huyu bwana. Tumpe support apate kutumiza ndoto yake.
Ni kweli bossWenye ndoto hiyo mbona wengi tu, na kwavile wote lengo lao ni moja kutumiakia taifa akipata mwingine siatafurahi?