Nashindwa kuelewa Rais samia anamuogopa Mwigulu mchemba,au wako pamoja katika mision zao au ni nyingi sana,
maana ukimsikiliza Mpina jinsi anavyolalamika kuhusu huyu waziri wa fedha halafu Rais kakaa kimya hachukui hatu yoyote ile tofauti na reaction iliyoichukua baada ya Gwajima kuliongelea swala la utekaji,nazani utagundua hii inchi ina tatizo kubwa sana,na kwa nini watu wanan'ga'ngania madaraka?
maana ukimsikiliza Mpina jinsi anavyolalamika kuhusu huyu waziri wa fedha halafu Rais kakaa kimya hachukui hatu yoyote ile tofauti na reaction iliyoichukua baada ya Gwajima kuliongelea swala la utekaji,nazani utagundua hii inchi ina tatizo kubwa sana,na kwa nini watu wanan'ga'ngania madaraka?