Nakuakikishia Makonda hatamaliza mwezi kwenye huo wenezi, bahati mbaya siasa zenu ni za kutaka kumkomoa Mbowe na Lisu, uku nchi ikiumia na kuteketea kutokana na uongozi mbovu.Kwa kweli wanastahili. Tumuongeze na Comrade Makonda.. kiboko ya Chadema na M/kiti wao Mbowe, Mzee wa Chopa.
Kwa mwenendo wa spika anavyoliendesha bunge ni mtu wa kusifia kweli? Inafikia hatua hadi viongozi wa chama wanakemea kupitisha kila kitu kinacholetwa na serikali bungeni hata kama hakina masilahi kwa taifa wala kwa wananchi.

NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZI