Rais Samia na Dkt. Tulia wajengewe sanamu

Rais Samia na Dkt. Tulia wajengewe sanamu

Ningewezaje kuandika kama sina akili.au kwako akili ni kuandika kile unachokitaka wewe na kuwaza?
Andika vitu vya maana vinavyoweza kumsaidia rais samia jinsi ya kuendesha nchi na kutatua kero za wananchi eg umeme ,maji na mbolea huu msimu wa kilimo.sio kusifia tu .sasa hayo masanamu yatatusaidia nini watanzania.acha uchawa kama huna connection kupata teuzi ndio usahau
 
Andika vitu vya maana vinavyoweza kumsaidia rais samia jinsi ya kuendesha nchi na kutatua kero za wananchi eg umeme ,maji na mbolea huu msimu wa kilimo.sio kusifia tu .sasa hayo masanamu yatatusaidia nini watanzania.acha uchawa kama huna connection kupata teuzi ndio usahau
Kipi ambacho sijawahi Kuandika katika jukwaa hili? Mimi nimeandika kugusa kila eneo na kila Secta na Kama kuna mahali unapoona sijagusa au kuzungumzia basi na wewe unayo haki na uhuru wa kuandika kulingana na mtizamo wako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtakubaliana nami kuwa Rais Samia na Dr Tulia wanastahili heshima ya kipekee kupewa na kutambuliwa na Taifa letu kwa kujengewa sanamu zitakazoishi miaka na miaka na kubakia kama alama na kumbukumbu kwa vizazi na vizazi, juu ya

0742-676627.
Kamjengee sanamu kiwanjani kwako unafikiri watanzania wote ni wapuuzi

Ukute ujawai kuonjeshwa hata asali

Mmerogwa na Nani?
 
Kamjengee sanamu kiwanjani kwako unafikiri watanzania wote ni wapuuzi

Ukute ujawai kuonjeshwa hata asali

Mmerogwa na Nani?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kwa kazi kubwa na yenye kugusa maisha wa mamilioni ya watanzania wanastahili heshima hiyo ya kujengewa sanamu ili kuendelea kukumbukwa vizazi na vizazi
 
Kwa kazi kubwa na yenye kugusa maisha wa mamilioni ya watanzania wanastahili heshima hiyo ya kujengewa sanamu ili kuendelea kukumbukwa vizazi na vizazi
Kamjengee kwenye kiwanja chako

Usilazimishe watanzania tuwe mbumbumbu kama wewe

Wewe huoni aibu

Miradi kibao inasuasua

Teuzi za hovyo

Migogoro ndani ya chama

We hujui?

We huoni?

Ukute ndugu zako kijijini wanashindia mlo mmoja unaleta upuuzi hapa

Stupid

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtakubaliana nami kuwa Rais Samia na Dr Tulia wanastahili heshima ya kipekee kupewa na kutambuliwa na Taifa letu kwa kujengewa sanamu zitakazoishi miaka na miaka na kubakia kama alama na kumbukumbu kwa vizazi na vizazi, juu ya historia kubwa na ya kipekee waliyoiandika katika Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake pamoja na mchango na

0742-676627.
Unaambiwa husikii sasa Mungu atashughulika na wewe kikamilifu ,gharika juu yako itakua kubwa kuanzia wewe mpaka familia yako ,asema Bwana
 
Kamjengee kwenye kiwanja chako

Usilazimishe watanzania tuwe mbumbumbu kama wewe

Wewe huoni aibu

Miradi kibao inasuasua

Teuzi za hovyo

Migogoro ndani ya chama

We hujui?

We huoni?

Ukute ndugu zako kijijini wanashindia mlo mmoja unaleta upuuzi hapa

Stupid

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Tuliza kichwa chini maana naona ni kama umevurugwa akili yako.unaposema miradi inasua sua ni ipi hiyo miradi? Huoni bwawa la mwalimu Nyerere lipo zaidi ya 92% mpaka sasa?

Teuzi zipi za hovyo unazozisema wewe? Kwa kipimo kipi ulichokitumia kuziita za hovyo? Ateuliwe nani ndio zisiwe za hovyo ? Au kwa akili yako kisoda ni mpaka ateuliwe yule au wale unaowataka wewe tu?

Unaposema migogoro ndani ya chama.je ni chama kipi hicho unachokisema ? Hicho chama hakina viongozi? Hakina katiba? Hakina wanachama? Hakina miongozo? Hakina utaratibu wa kushughulikia migogoro? Embu acha kufakamia mipombe ukiwa na kinjaa yako Tumboni.
 
Kwamba hufahamu na huoni mchango wa Dr Samia Katika Taifa letu? Huoni namna alivyoleta mapinduzi katika kila Eneo? Huoni namna alivyosaidia makundi mbalimbali kupata matumaini kutoka katika hali ya kukata Tamaa?
Kipya kipi kimefanywa ambacho Marais na Maspika wengine hawakufanya kinachopelekea wajengewe minara? Namba yako ya simu wanayo muda mrefu, lakini kama ni kwa akili zako hizi utokaa uteuliwe nafasi yoyote, bora tafuta mme uolewe.
 
Kipya kipi kimefanywa ambacho Marais na Maspika wengine hawakufanya kinachopelekea wajengewe minara? Namba yako ya simu wanayo muda mrefu, lakini kama ni kwa akili zako hizi utokaa uteuliwe nafasi yoyote, bora tafuta mme uolewe.
Kwani hujaona maajabu na makubwa aliyoyafanya Rais samia hapa nchini? Huoni mchango wa Dr Tulia katika jiji la Mbeya?
 
Tuliza kichwa chini maana naona ni kama umevurugwa akili yako.unaposema miradi inasua sua ni ipi hiyo miradi? Huoni bwawa la mwalimu Nyerere lipo zaidi ya 92% mpaka sasa?

Teuzi zipi za hovyo unazozisema wewe? Kwa kipimo kipi ulichokitumia kuziita za hovyo? Ateuliwe nani ndio zisiwe za hovyo ? Au kwa akili yako kisoda ni mpaka ateuliwe yule au wale unaowataka wewe tu?

Unaposema migogoro ndani ya chama.je ni chama kipi hicho unachokisema ? Hicho chama hakina viongozi? Hakina katiba? Hakina wanachama? Hakina miongozo? Hakina utaratibu wa kushughulikia migogoro? Embu acha kufakamia mipombe ukiwa na kinjaa yako Tumboni.
Wewe ni kipofu

Una uhakika miradi haisuisui?

Una uhakika hakuna mgogoro ndani ya chama?

Kaka Mimi binafsi nyuzi zako huwa nazifatilia Sana

Ila kwanini useme uongo?

Wewe huoni teuzi za hovyo?

Makonda ni teuzi nzuri?

Mtu amepigwa marufuku kuingia Nchi ya Dubwana? Hujui ? Unajua kwanini alizuiliwa?

Asee kwenye miradi ni mingi mno

Migogoro nadhan na wewe unaijua

Be chance

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni kipofu

Una uhakika miradi haisuisui?

Una uhakika hakuna mgogoro ndani ya chama?

Kaka Mimi binafsi nyuzi zako huwa nazifatilia Sana

Ila kwanini useme uongo?

Wewe huoni teuzi za hovyo?

Makonda ni teuzi nzuri?

Mtu amepigwa marufuku kuingia Nchi ya Dubwana? Hujui ? Unajua kwanini alizuiliwa?

Asee kwenye miradi ni mingi mno

Migogoro nadhan na wewe unaijua

Be chance

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nataka unitajie hiyo migogoro ndugu yangu ili nami niifahamu. Suala la Makonda kusema amezuiliwa Marekani nalo ningependa kukwambia kuwa Marekani siyo wa kuwaamini kwa kila kitu.kumbuka ni hao hao Marekani walioivamia ulaki na waliomuua Sadam Husseni kwa kusema kuwa kuna silaha za maangamizi.sasa nikuulize je hizo silaha walizikuta? Wewe binafsi ulionyeshwa kupitia chombo chochote cha habari? Hizo silaha umewahi kuziona?

Marekani hao hao si ndio walikuwa wanampaka matope gadafi hadi wakamuua? Je madai yao yalikuwa ya kweli? Je libya imetulia hadi leo? Usiwaanini Marekani kwa kila kitu kitakacho midomoni mwao maana ni wanafiki sana na wachonganishi hasa maslahi yao yanapoguswa.
 
Nataka unitajie hiyo migogoro ndugu yangu ili nami niifahamu. Suala la Makonda kusema amezuiliwa Marekani nalo ningependa kukwambia kuwa Marekani siyo wa kuwaamini kwa kila kitu.kumbuka ni hao hao Marekani walioivamia ulaki na waliomuua Sadam Husseni kwa kusema kuwa kuna silaha za maangamizi.sasa nikuulize je hizo silaha walizikuta? Wewe binafsi ulionyeshwa kupitia chombo chochote cha habari? Hizo silaha umewahi kuziona?

Marekani hao hao si ndio walikuwa wanampaka matope gadafi hadi wakamuua? Je madai yao yalikuwa ya kweli? Je libya imetulia hadi leo? Usiwaanini Marekani kwa kila kitu kitakacho midomoni mwao maana ni wanafiki sana na wachonganishi hasa maslahi yao yanapoguswa.
Sawa hatuwaamini ila vipi mbona mnapokea ajenda zao kwanini mnafata system yao au hujui?

Kama hivy mwambie Mama ajitoe kwenye mfumo wap

Kuhusu migogoro inahitaji hata nyuzi....

Najua unaniinjoi mkuu ila unajua Kila kitu

Hii nchi ipo wazi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtakubaliana nami kuwa Rais Samia na Dr Tulia wanastahili heshima ya kipekee kupewa na kutambuliwa na Taifa letu kwa kujengewa sanamu zitakazoishi miaka na miaka na kubakia kama alama na kumbukumbu kwa vizazi na vizazi, juu ya

0742-676627.
Huna AKILI kabisa ww unashindwa kumuheshimisha baba yako mwanaume aliyekuzaa unakaa kusifikia wapuuzi.Tunataka kusikia baba yako aliyekuzaa unamjengea sanamu ngedere ww acha kusifia upuuzi.
 
Kwa kweli wanastahili. Tumuongeze na Comrade Makonda.. kiboko ya Chadema na M/kiti wao Mbowe, Mzee wa Chopa.
 
Huna AKILI kabisa ww unashindwa kumuheshimisha baba yako mwanaume aliyekuzaa unakaa kusifikia wapuuzi.Tunataka kusikia baba yako aliyekuzaa unamjengea sanamu ngedere ww acha kusifia upuuzi.
Matusi ni dalili ya kuishiwa hoja na kushindwa cha kujibu. Mwenye busara na hekima hujibu hoja kwa hoja tu.
 
Hata majini ni zao la wanawake wasaliti.

Malaika walipokuja Duniani waliona wanawake ni rahisi kuingilika na kushawishiwa na kubadili kizazi cha binadamu Kwa ahadi ya kufundishwa uchawi.

Hakuna shujaa mbele ya ngawira.
Hao watu wawili wamelirudisha taifa letu utumwani Kwa Kasi ya 5G

2025 hawastahili Hata kuonekana kwenye ofisi ya tume ya uchaguzi wakitafuta fomu.

SIO kujengewa sanamu , Bali Hata Siku ya mwisho wao makaburi Yao hayastahili kujengewa .,,
 
Back
Top Bottom