Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Ndugu zangu Watanzania,
Mtakubaliana nami kuwa Rais Samia na Dr Tulia wanastahili heshima ya kipekee kupewa na kutambuliwa na Taifa letu kwa kujengewa sanamu zitakazoishi miaka na miaka na kubakia kama alama na kumbukumbu kwa vizazi na vizazi, juu ya historia kubwambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Maisha yanaweza kusababisha mtu mzima akadharirika sana.