Rais Samia na Dkt. Tulia wajengewe sanamu

Rais Samia na Dkt. Tulia wajengewe sanamu

Dr Tulia anakubalika sana na wananchi na ndio maana Anaendelea kupata baraka na kubarikiwa kutokana na maombi mazuri anayoendelea kuombewa kutoka kila sehemu ya Taifa letu.kwa kuwa ni kupitia yeye kuna wananchi wengi sana wamesaidiwa na kuwezeshwa mitaji.amewapa vijana na akina mama mitaji kupitia vikundi vyao.amesaidia yatima na wajane mbalimbali bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbona wewe hajakusaidia? aanze na wewe akutoe kuwa PS wa UWT Kata usogee hata Wilayani
 
Tulia amepata nafasi ya kuwa Rais wa IPU si kwa Sababu ya umairi wake, kabebwa na jina la nchi baada ya kushindanishwa na wagombea kutoka nchi dhaifu. After all nchi itagain nini kutokana na hicho cheo chake?
Ukiona cheo Marekani, UK hawahangaiki ni cheo cha hovyo wala hakina faida yoyote
 
Dr Tulia anakubalika sana na wananchi na ndio maana Anaendelea kupata baraka na kubarikiwa kutokana na maombi mazuri anayoendelea kuombewa kutoka kila sehemu ya Taifa letu.kwa kuwa ni kupitia yeye kuna wananchi wengi sana wamesaidiwa na kuwezeshwa mitaji.amewapa vijana na akina mama mitaji kupitia vikundi vyao.amesaidia yatima na wajane mbalimbali bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
Acha ujinga, ni kazi ya spika kugawa mitaji kwa wanawake na vijana? You are too low, mara nyingine ficha ujinga wako hili watu wakuheshimu.
 
Acha ujinga, ni kazi ya spika kugawa mitaji kwa wanawake na vijana? You are too low, mara nyingine ficha ujinga wako hili watu wakuheshimu.
Badala ya serikali kutengeneza mazingira bora kwa wananchi wake, eti Spika anagawa mitaji? atagawa Tanzania nzima?
 
Tulia amepata nafasi ya kuwa Rais wa IPU si kwa Sababu ya umairi wake, kabebwa na jina la nchi baada ya kushindanishwa na wagombea kutoka nchi dhaifu. After all nchi itagain nini kutokana na hicho cheo chake?
Acha ujinga wako hapa wewe. Ninyi si ndio mlikuwa mnatoka mate humu kuwa hawezi kushinda? Kwanini mmegeuka ghafla hivyo tena na kuhamisha magoli?
 
Kwamba tuanze kuabudu sanam la Tulia na Samia?
Unaelewa maana ya kumjengea mtu sanamu? Kwani sanamu ya hayati Nelson Mandela kule Afrika kusini au sir Alex Ferguson like Uingereza au Ronaldo kule India ulishaona zinaabudiwa na kufanyiwa hapo ibada?
 
Hata nikikuelewesha huwezi kuelewa kitu ni mpaka ulishwe unga wa rutuba
Tetetete, unashindana na Malawi, Somalia na Senegal unajisifia umeshinda ambapo hata Mrisho Mpoto angeshida, Tanzania inahitaji ku-review mifumo yake iondokane na umasikini pamoja na changamoto mbalimbali kutokana na rasilimali zake na inawezekana kabisa badala ya kushangili vyeo vya kijinga kama hivi. Kila sector ni aibu tupu hakuna la maana linafanyika
 
Unaelewa maana ya kumjengea mtu sanamu? Kwani sanamu ya hayati Nelson Mandela kule Afrika kusini au sir Alex Ferguson like Uingereza au Ronaldo kule India ulishaona zinaabudiwa na kufanyiwa hapo ibada?
Unajenga la nini sasa?
 
Acha ujinga wako hapa wewe. Ninyi si ndio mlikuwa mnatoka mate humu kuwa hawezi kushinda? Kwanini mmegeuka ghafla hivyo tena na kuhamisha magoli?
Haya kashinda so what? Nchi itanufaika na lipi kwa hicho cheo chake hadi ajengewe maua? Akili huna.
 
Tetetete, unashindana na Malawi, Somalia na Senegal unajisifia umeshinda ambapo hata Mrisho Mpoto angeshida, Tanzania inahitaji ku-review mifumo yake iondokane na umasikini pamoja na changamoto mbalimbali kutokana na rasilimali zake na inawezekana kabisa badala ya kushangili vyeo vya kijinga kama hivi. Kila sector ni aibu tupu hakuna la maana linafanyika
Kwanini usingeenda na wewe ushindane naye ili udodoshwe
 
Dr Tulia ni wa pili kutokea tanzania, wa kwanza alikuwa Dr William Shija aliyekuwa mbunge wa sengerema,
 
Back
Top Bottom