Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 493
- 612
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya wanaJF,
Mbaazi siyo mboga ni zao la biashara ila kuna muda Mama anajiona kila kitu kashamaliza. Anaona maskini hawezi kufanya chochote ndiyo maana kila kitu akijisikia kuongea anaongea tu.
Anyway, ni Rais wetu na sisi ni wapiga kura, ajaribu kuwa na staha hata kidogo atusitiri japo kidogo tu.
Mbaazi sisi wengine ndizo zimetukuza mpaka hapa tulipo.
Nawasilisha kwenu Jamhuri.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.
“Mbaazi sasa sio mboga ni zao la biashara kwahiyo wekeni jitihada kwenye kilimo kikubwa cha mbaazi soko lipo tumeshaweka mikataba na Nchi zinazonunua kwahiyo soko la uhakika lipo”
“Kama ilivyopanda bei mwaka huu bei zitaendelea kuwa hivyo kwahiyo kalimeni sana mbaazi, ufuta na korosho, jinsi tunavyoongeza thamani ya zao letu ndivyo bei zitakavyopanda”
Mbaazi siyo mboga ni zao la biashara ila kuna muda Mama anajiona kila kitu kashamaliza. Anaona maskini hawezi kufanya chochote ndiyo maana kila kitu akijisikia kuongea anaongea tu.
Anyway, ni Rais wetu na sisi ni wapiga kura, ajaribu kuwa na staha hata kidogo atusitiri japo kidogo tu.
Mbaazi sisi wengine ndizo zimetukuza mpaka hapa tulipo.
Nawasilisha kwenu Jamhuri.
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.
“Mbaazi sasa sio mboga ni zao la biashara kwahiyo wekeni jitihada kwenye kilimo kikubwa cha mbaazi soko lipo tumeshaweka mikataba na Nchi zinazonunua kwahiyo soko la uhakika lipo”
“Kama ilivyopanda bei mwaka huu bei zitaendelea kuwa hivyo kwahiyo kalimeni sana mbaazi, ufuta na korosho, jinsi tunavyoongeza thamani ya zao letu ndivyo bei zitakavyopanda”