Rais Samia kwanini ananyamazia matukio ya Utekaji?

Rais Samia kwanini ananyamazia matukio ya Utekaji?

Kuna kitu kinaitwa guilty , hawezi chomoza popote shingo yake kuongelea hili!
 
Hebu tuache kufananisha kutekwa na vitu vya kijinga......yaani maigizo ya ze komedi shoo mnaita kutekwa?!!!!! Tuwe serious basi na maisha.
 
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.

Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.

Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.

Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.

Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.

Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?

Maoni yenu wakuu!
.Mwigulu anasemaje? aha haha ha
 
Na wewe uje basi upigwe pingu na wazanzibari walio na silaha, halafu upelekww misituni.
Inasikitisha kumuona great thinker akichotwa akili kirahisi hivi. Hivi we unaamini kabisa maigizo ya kitoto kama hayo?!!!! Inasikitisha na kuchekesha wakati huohuo.
 
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.

Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.

Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.

Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.

Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.

Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?

Maoni yenu wakuu!
Michezo ya kuigiza hiyo, sinema zetu hizo.

Huu uzi wako huwa lengo linalofuatia baada ya utekaji kufanyika.

Kuichafua serikali na taasisi zake kwa mataifa ya Ulaya Magharibi ambao wanaufadhili uwepo wenu wa kisiasa.

Kwamba hali ya kisiasa ni tete hivyo Tanzania itazamwe kwa jicho la mashaka na ichukiwe!!. Kichekesho na nyinyi mnaotumiwa ni watanzania wale wale mnapoaga dunia mnazikwa hapa hapa bongoland.
 
Inasikitisha kumuona great thinker akichotwa akili kirahisi hivi. Hivi we unaamini kabisa maigizo ya kitoto kama hayo?!!!! Inasikitisha na kuchekesha wakati huohuo.
Mkuu si uende Maelezo na kulitolea tamko.
Au na wewe ni Msigwa unaye tolea matamko kwapani.
 
Michezo ya kuigiza hiyo, sinema zetu hizo.

Huu uzi wako huwa lengo linalofuatia baada ya utekaji kufanyika.

Kuichafua serikali na taasisi zake kwa mataifa ya Ulaya Magharibi ambao wanaufadhili uwepo wenu wa kisiasa.

Kwamba hali ya kisiasa ni tete hivyo Tanzania itazamwe kwa jicho la mashaka na ichukiwe!!. Kichekesho na nyinyi mnaotumiwa ni watanzania wale wale mnapoaga dunia mnazikwa hapa hapa bongoland.
Wewe tunakujua, chawa asiye na haya.
Hakuna sababu ya kulumbana na chawa asiye na haya.
 
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.

Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.

Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.

Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.

Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.

Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?

Maoni yenu wakuu!
Kwani wanao tekwa ni ndugu zake? Yeyeni mzanzibar watanganyika mnamuhusu nini hata mkifa sawa tu hana cha kupoteza
 
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.

Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.

Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.

Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.

Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.

Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?

Maoni yenu wakuu!
Ukifuatilia kwa karibu wahanga wengi wanadai watekaji, watesi na wauaji wana lafudhi ya Zanzibar.
Unahitaji ujasiri wa Lucifer kukemea matokeo ya ulichokiratibu.
SSH hana huo ujasiri!
 
Ukifuatilia kwa karibu wahanga wengi wanadai watekaji, watesi na wauaji wana lafudhi ya Zanzibar.
Unahitaji ujasiri wa Lucifer kukemea matokeo ya ulichokiratibu.
SSH hana huo ujasiri!
Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe kwenye suala zima la utekaji.
 
Michezo ya kuigiza hiyo, sinema zetu hizo.

Huu uzi wako huwa lengo linalofuatia baada ya utekaji kufanyika.

Kuichafua serikali na taasisi zake kwa mataifa ya Ulaya Magharibi ambao wanaufadhili uwepo wenu wa kisiasa.

Kwamba hali ya kisiasa ni tete hivyo Tanzania itazamwe kwa jicho la mashaka na ichukiwe!!. Kichekesho na nyinyi mnaotumiwa ni watanzania wale wale mnapoaga dunia mnazikwa hapa hapa bongoland.
Tangu hizi habari za kutekana zimeanza awamu ya 5, hatujawahi kusikia wahusika wa kuteka wamekamatwa badala yake ni tukio linachunguzwa na majibu hayajawahi kutolewa na kila siku yanaendelea na kuibuka mapya. Kama ni maigizo hao waiguzaji na wanaoichafua nchi/serikali mbona hawachukuliwi hatua? Ni kwamba mmeshindwa kuwabaini hawa wachafuzi wa serikali? Kila siku mnasema wanaigiza ila kuwakamata waigizaji tena wenye siraha mnashindwa ila watu wanaokosoa mnawakamata hata uvunguni. Kuna shida kichwani mtu anaetetea haya matukio. Labda tungeona hata kesi moja ya maigizo hao walioigiza wamekamatwa na kufunguliwa kesi ya kuichafua serikali basi tungeamini ni maigizo ila hamjawahi kusolve hata kesi moja.
 
Wananchi wanalalamikia utekaji nyie mwaona ni drama.
Hii sasa imekuwa kero ya muungano.
Utekaji upo dunia nzima. Kule USA kuna kesi nyingi zipo FBI ambazo watu wanatekwa na watekaji wanaendelea kutafutwa.

Yule dogo aliyekatwa kichwa sababu ilikuwa ushirikina. Zipo kesi nyingi za aina hiyo ambazo serikali hutupiwa moja kwa moja lawama bila ya kuwa mhusika kwa namna yoyote ile.

Uhuru mkubwa wa vyombo vya habari unatumiwa vibaya na wanaharakati katika kuiweka hai ile roho ya chuki kwa kinachofanywa na serikali bila ya kuelewa suala husika lipo vipi bila ya kujua maarifa kamili ya hicho wanachokipotosha.

Dhambi mbaya ya kuiletea Tanzania roho ya ukatili kuna siku hawa kina Mange na Maria watakuja kuijibu kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom