nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,593
- 7,167
kinachoongelewa hapa ni huduma za kiutawala, hizo huduma za maji wamesema hawana?Ukiwa mkoa ndiyo utapata maji kwa karibu?
kinachoongelewa hapa ni huduma za kiutawala, hizo huduma za maji wamesema hawana?Ukiwa mkoa ndiyo utapata maji kwa karibu?
huyo ni mwehu.This was unnecessary mkuu
Kila awamu ina mbinu zake za propaganda..... Awamu hii wanachanganyachanganya bora mambo yaende na siku ziende.Hivi kumbe huwa kuna sherehe za kuzima mwenge? Sikuwahi kujua hili