figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Kulingana na Ratiba ya kazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kesho 13 Oct 2023, anatakiwa afanye ziara Mkoa wa Manyara.
Kumbuka Jana ndo amerudi kutoka ziarani India.
Nashauri apumzike japo wiki sababu atachoka sana. Nakumbuka alifanya ziara Arusha hadi akaomba maji ya kunywa baada ya kujisikia vibaya sababu wa Uchovu.
Hawa wanaume wanaoandaa ziara ya rais wetu, wazingatie yeye ni mama mtu mzima ambaye katumia nguvu nyingi kujifungua na kulea, hivyo asipelekeshwe kijeshi jeshi.
Kulingana na Ratiba ya kazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kesho 13 Oct 2023, anatakiwa afanye ziara Mkoa wa Manyara.
Kumbuka Jana ndo amerudi kutoka ziarani India.
Nashauri apumzike japo wiki sababu atachoka sana. Nakumbuka alifanya ziara Arusha hadi akaomba maji ya kunywa baada ya kujisikia vibaya sababu wa Uchovu.
Hawa wanaume wanaoandaa ziara ya rais wetu, wazingatie yeye ni mama mtu mzima ambaye katumia nguvu nyingi kujifungua na kulea, hivyo asipelekeshwe kijeshi jeshi.