Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,506
- 1,922
Rais Samia nakusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninayokila sababu ya kukuambia karibu Tanga lakini uwe makini maana viongozi waliopo bado hawajajua unacho kitaka.
Ninasema hivo kwasababu zifuatazo
1: Hela asilimia 10 kwaajili ya wanawake,vijana na walemavu Tanga ni hadithi ya kufikirika. Kama wamekopesha labda iwe nikwausiri lakini waliowengi wamefuatilia hamna kitu.
2: Kuna mtumishi wa kike ameshtakiwa na DPP kwa kesi ya uhujumu uchumi lakini bado ni afisaelimu kata alichukua mshahara na posho ya madaraka. Tena eti amemkaimisha mtu ofisi maana anaumwa. Wasaidie tamisemi wamechoka
3: Hospitali ya Bombo rushwa ndio nyumbani. Eti mtu akipewa rufaa aende muhimbili anatakiwa atoe laki tano ya ambulance. Maskini watakufa bila matibabu. Wiki iliyopita kuna mgonjwa amefariki kwa kushindwa kulipia ambulance
4: Waulize kuhusu wale makatibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Tanga jiji na Mkinga zile fedha walizosaini kinyemela wenyewe wawili bila kuwashirikisha watumishi wengine kwenye ofisi zao je walizilipa. TSC makao makuu kwanini hawakuchukua hatua wakati walituma timu yao na walibaini makosa? Tamisemi wanalea wala rushwa na taarifa wanayo.
5: Kuhusu anuani za makaazi mpaka ninapoandika siotu kwamba baadhi ya mitaa haijawekwa vibao vya majina hata nyumba baadhi hazina namba. Hao viongozi wanakulatu viyoyozi na nimadikteta hawataki kuhojiwa.Nape ametembea na lihelkopta lake lakini hawajali wala hawana aibu
6:Barabara za mitaa baadhi hazipitiki.
7: Halmashauri Tanga jiji inanuka ngono. Waliokataa kuvuliwa nguo wamenyanyasika sana.
8: Waandishi wa habari Tanga hawapo. Walishanunuliwa jumla na aliyekua mkurugenzi bwana Mayeji na ndugu yake Shigela. Hao madikteta walikua hawataki wanahabari kabisa. Hata hiyo TBC yako mama Tanga hatuwaoni. Tanga jiji inashindwa hata na Handeni huko kuna waandishi wa habari wa channel ten akina Mbezi. Hii ni aibu
9: Migogoro ya ardhi imetamalaki. Watu wa ardhi ndio madalali bila woga. Wamekua wanyang'anyi wa kupora haki za watu. Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
10: Katibu tawala amechoka fanya umsaidie. Hebu mbadilishie mazingira yule mama mkoa huu umemshinda.
Amepelekewa kero kibao hataki kuzifanyia kazi. Ameshindwa hata kuchukua hatua kwa watumishi wabadhirifu tena ndio wanapandishwa vyeo kwakuatu ni makada. Kwani kuna uhusiano wa wizi na ukada?
Mh. Rais mstue RAS amelala hamna kitu
Ninayokila sababu ya kukuambia karibu Tanga lakini uwe makini maana viongozi waliopo bado hawajajua unacho kitaka.
Ninasema hivo kwasababu zifuatazo
1: Hela asilimia 10 kwaajili ya wanawake,vijana na walemavu Tanga ni hadithi ya kufikirika. Kama wamekopesha labda iwe nikwausiri lakini waliowengi wamefuatilia hamna kitu.
2: Kuna mtumishi wa kike ameshtakiwa na DPP kwa kesi ya uhujumu uchumi lakini bado ni afisaelimu kata alichukua mshahara na posho ya madaraka. Tena eti amemkaimisha mtu ofisi maana anaumwa. Wasaidie tamisemi wamechoka
3: Hospitali ya Bombo rushwa ndio nyumbani. Eti mtu akipewa rufaa aende muhimbili anatakiwa atoe laki tano ya ambulance. Maskini watakufa bila matibabu. Wiki iliyopita kuna mgonjwa amefariki kwa kushindwa kulipia ambulance
4: Waulize kuhusu wale makatibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Tanga jiji na Mkinga zile fedha walizosaini kinyemela wenyewe wawili bila kuwashirikisha watumishi wengine kwenye ofisi zao je walizilipa. TSC makao makuu kwanini hawakuchukua hatua wakati walituma timu yao na walibaini makosa? Tamisemi wanalea wala rushwa na taarifa wanayo.
5: Kuhusu anuani za makaazi mpaka ninapoandika siotu kwamba baadhi ya mitaa haijawekwa vibao vya majina hata nyumba baadhi hazina namba. Hao viongozi wanakulatu viyoyozi na nimadikteta hawataki kuhojiwa.Nape ametembea na lihelkopta lake lakini hawajali wala hawana aibu
6:Barabara za mitaa baadhi hazipitiki.
7: Halmashauri Tanga jiji inanuka ngono. Waliokataa kuvuliwa nguo wamenyanyasika sana.
8: Waandishi wa habari Tanga hawapo. Walishanunuliwa jumla na aliyekua mkurugenzi bwana Mayeji na ndugu yake Shigela. Hao madikteta walikua hawataki wanahabari kabisa. Hata hiyo TBC yako mama Tanga hatuwaoni. Tanga jiji inashindwa hata na Handeni huko kuna waandishi wa habari wa channel ten akina Mbezi. Hii ni aibu
9: Migogoro ya ardhi imetamalaki. Watu wa ardhi ndio madalali bila woga. Wamekua wanyang'anyi wa kupora haki za watu. Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
10: Katibu tawala amechoka fanya umsaidie. Hebu mbadilishie mazingira yule mama mkoa huu umemshinda.
Amepelekewa kero kibao hataki kuzifanyia kazi. Ameshindwa hata kuchukua hatua kwa watumishi wabadhirifu tena ndio wanapandishwa vyeo kwakuatu ni makada. Kwani kuna uhusiano wa wizi na ukada?
Mh. Rais mstue RAS amelala hamna kitu