SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,064
Ni yeye anataka Mbowe afungwe hilo halina ubishi.Swala na Mbowe inakuwa je aangushiwe wakati ni ya wakati wake, na DPP alimteua yeye na akamuagiza atupilie mbali makesi ya hovyo, if any, ilikuwa jeDPP mpya wake alilibeba file la Mbowe na kuendelea nalo?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app