Kama binadamu ni muhimu kukumbuka ulikotoka, kuelewa ulipo na kujua unakokwenda.
Kwamba ni sasa ndiyo anaangushiwa Jumba bovu? Mbona bado?
Asipoangalia mbona hata la Mbowe nalo atangushiwa yeye?
Bora angejikita (japo kwa kuchelewa) kwenye haki na maridhiano kuurejesha uungwaji mkono uliopotea.
Legacy ya kuiachia hii nchi Katiba mpya ingempa heshima kubwa zaidi kuliko hata ya urais 2025 anaoonekana kuutaka mno.
-----------
Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1
Kwamba ni sasa ndiyo anaangushiwa Jumba bovu? Mbona bado?
Asipoangalia mbona hata la Mbowe nalo atangushiwa yeye?
Bora angejikita (japo kwa kuchelewa) kwenye haki na maridhiano kuurejesha uungwaji mkono uliopotea.
Legacy ya kuiachia hii nchi Katiba mpya ingempa heshima kubwa zaidi kuliko hata ya urais 2025 anaoonekana kuutaka mno.
-----------
Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1