Rais Samia jumba bovu analilea mwenyewe

Rais Samia jumba bovu analilea mwenyewe

Simple, ni isssue ya kumuita DPP na kumpa mawazo yake na ambavyo angelipenda hili la Mbowe liishe maana kuna ushahidi usio na ubishi kuwa amesingiziwa . Ana dictate kuwa futa hii..... wakiwa wawili na huyu anatekeleza
Acheni ujinga basi,mmerogwa?
 
Mbona mbowe mnapiga kelele kuna wafungwa wangapi magerezani subiri mahakama iamue hatma ya mbowe ile ni mhimili mwingine
 
mbona mnaingilia mambo ya mbowe acheni mahakama iamue chaga chadema mbona mnakiherehere mbowe mbowe wwlikamatwa mashekh walikaa miaka 8 na hakuna mtu wa kutetea huyu nabii yupo miezi tu kelele nyingi
Ajabu sana
 
Hata asipotokea yeye in person AG anaweza kutokea kwa niaba wakayamaliza na DPP.

Suala zima anapaswa kujua siasa ni mchezo mchafu na kuanguashiana majumba mabovu ni sehemu ya mchezo huo.
Rubbish , hii ndio style ya kumtongoza mama samia ?,too low
 
Swala na Mbowe inakuwa je aangushiwe wakati ni ya wakati wake, na DPP alimteua yeye na akamuagiza atupilie mbali makesi ya hovyo, if any, ilikuwa jeDPP mpya wake alilibeba file la Mbowe na kuendelea nalo?

Iko hivi timu yote ya jiwe iko relatively intact kwenye system.

Yumkini kuzima sekeseke la katiba mpya Mama alishauriwa kuanzisha kesi hii kwa maana ya kuwa ilikuwapo, pending tu.

Naye kaingia mzima mzima. Hii ni kama alivyoshauriwa kuhusu katiba mpya, madai kuwa si kipaumbele chake.

Kaingizwa chaka. Mambo yakifikia hatua mbaya kuhusu kesi hii, jumba bovu lote litakuwa lake.

Hii ni kama unavyojisikia dadavua sasa.

Kikinuka wala hao vinara wa ushauri huo hawatakuwapo karibu hata kumpa pole tu.
 
Yaani nyie chadema mlimpigia kelele sana magufuli hafuati sheria kwanini mnamlazimisha mama samia afanye yale yale aingilie uhuru wa mahakama
 
Iko hivi timu yote ya jiwe iko relatively intact kwenye system.

Yumkini kuzima sekeseke la katiba mpya Mama alishauriwa kuanzisha kesi hii kwa maana ya kuwa ilikuwapo, pending tu.

Naye kaingia mzima mzima. Hii ni kama alivyoshauriwa kuhusu katiba mpya, madai kuwa si kipaumbele chake.

Kaingizwa chaka. Mambo yakifikia hatua mbaya kuhusu kesi hii, jumba bovu lote litakuwa lake.

Hii ni kama unavyojisikia dadavua sasa.

Kikinuka wala hao vinara wa ushauri huo hawatakuwapo karibu hata kumpa pole tu.
Mbowe anatuhuma za ugaidi,muacheni ajitetee,Mbona Mandela alikaa miaka 27 jela akawa rais wa A.kusini ,kwanini upande wa Mbowe mnaogopa ?
 
Iko hivi timu yote ya jiwe iko relatively intact kwenye system.

Yumkini kuzima sekeseke la katiba mpya Mama alishauriwa kuanzisha kesi hii kwa maana ya kuwa ilikuwapo, pending tu.

Naye kaingia mzima mzima. Hii ni kama alivyoshauriwa kuhusu katiba mpya, madai kuwa si kipaumbele chake.

Kaingizwa chaka. Mambo yakifikia hatua mbaya kuhusu kesi hii, jumba bovu lote litakuwa lake.

Hii ni kama unavyojisikia dadavua sasa.

Kikinuka wala hao vinara wa ushauri huo hawatakuwapo karibu hata kumpa pole tu.

Hiyo System ya jiwe unaongelea watumishi wa umma ama wanasiasa wa kuteuliwa?
 
Yaani nyie chadema mlimpigia kelele sana magufuli hafuati sheria kwanini mnamlazimisha mama samia afanye yale yale aingilie uhuru wa mahakama

Unasoma wapi anapolazimishwa nani kufanya nini?
 
Mawazo ya kijinga sana haya,nchi ikiendeshwa namna hiyo ujue hakuna serikali hapo .
Acheni Mbowe ajibu tuhuma zinazomkabili

Unamkumbuka Chacha wangwe?

Heri mawazo ya kijinga. Yako ni ya kijinga zaidi kama si ya kipumbavu kabisa!

Tunaongelea haki na maridhiano. Wewe uuone vipi umuhimu kama ni mhusika kwenye unyama huu?

IMG_20211202_092804_863.jpg


Wewe uuone vipi umuhimu wake kama u mnufaika humu?

IMG_20211119_091739_123.jpg


Usituongelee tafadhali mburula wewe.
 
Kumbe ana wewe ni Rubbish! such a poor resoning! sasa analalamika nin na jumba bovu? Likiangika na la Mbowe you will not be there!

Wanufaika uchwara tu hao wa status quo
 
jana niliyafeel maumivu ya rais samia japo sikumkubali, kuna kitu hajakijua hilo kundi linalomuunga wanamchezesha mchezo wa kisiasa ili awaone sukuma gang ni maadui zake wao wanufaike kisiasa, mama anapaswa kua makini sana na kundi linalomuunga mkono kuliko hata sukuma gang.

Angejikita kwenye haki na maridhiano ilikuwa inatosha sana.

Katiba mpya ingekuwa na tija zaidi kwake kuliko hata ya urais wa post 2025.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom