sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwanza nianze kwa kupongeza Wakurugenzi na watendaji wa mtandao pendwa wa JamiiForums.
Pili naomba nikili yawazi yakuwa maboresho yaliyofanywa na JF Kuna wanaJF wengi tumekuwa nje ya nje ya online off, kkwa sababu ya maboresho haya.
Niende kwenye mada, hivi majuzi Mimi nilikuwa,miongoni mwa vijana tulio shuhudia Waziri wa habari na technolojia akizindua mnara wa kkwa ajili ya upatikanaji wa internet kutoka moja kwa Moja mlima Kilimanjaro.
Nikili wazi Mimi ni miongoni mwa mapota walio kuwa tumebeba mizigo mizito kwakweli.
Kilichonoleta hapa ni kuhoji wingi wa msafara wa Magali aliombatana nao Nape naye kupitia maeneo ya Marangu yaaani alikuuwa na utilili wa magari hatari na king'ora juu yake Sasa najiuliza huo msafara ulikuwa wa Nini?
Kulikuwa na umuhimu gani kuwa na magari zaiddi ya 50 kumsindikiza nape?who are you by dhen way?
Uwaziri ndo unakupa hadhi ya kutembea na ving'ora kweli?
Nikuombe Mh mama Rais maana hii imekuwa kama ni fasheni.
Pili naomba nikili yawazi yakuwa maboresho yaliyofanywa na JF Kuna wanaJF wengi tumekuwa nje ya nje ya online off, kkwa sababu ya maboresho haya.
Niende kwenye mada, hivi majuzi Mimi nilikuwa,miongoni mwa vijana tulio shuhudia Waziri wa habari na technolojia akizindua mnara wa kkwa ajili ya upatikanaji wa internet kutoka moja kwa Moja mlima Kilimanjaro.
Nikili wazi Mimi ni miongoni mwa mapota walio kuwa tumebeba mizigo mizito kwakweli.
Kilichonoleta hapa ni kuhoji wingi wa msafara wa Magali aliombatana nao Nape naye kupitia maeneo ya Marangu yaaani alikuuwa na utilili wa magari hatari na king'ora juu yake Sasa najiuliza huo msafara ulikuwa wa Nini?
Kulikuwa na umuhimu gani kuwa na magari zaiddi ya 50 kumsindikiza nape?who are you by dhen way?
Uwaziri ndo unakupa hadhi ya kutembea na ving'ora kweli?
Nikuombe Mh mama Rais maana hii imekuwa kama ni fasheni.