kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameshuhudia utiaji saini wa mikataba ya kuimarisha Gridi ya Taifa na usambazaji wa umeme Vijijini iliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Februari, 2023. Kwenye hotuba yake Rais Samia anasema wakati anakabidhiwa madaraka jambo lililokua linamuumiza kichwa ni wapi atapata pesa za kukamilisha miradi mikubwa ya SGR na JNHPP.
Rais Samia anasema kwa kua alikua na nia ya dhati ya kukamilisha miradi hiyo alipambana na hatimaye leo iko kwenye hatua nzuri ikiwemo bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo Mwakani Mungu akijaalia litawashwa kwa ajili ya kuzalisha umeme wa majaribio.
"Kwenye nia pana njia leo SGR nina pesa mpaka ya lot ya 6 kufika Kigoma sikutegema. Lakini kwa upande wa bwawa nadhani mwakani mapema mapema tunaanza kuliwasha na ku-generate umeme wa awali wa majaribio."- Mhe. Rais Samia Suluhu
Rais Samia anasema kwa kua alikua na nia ya dhati ya kukamilisha miradi hiyo alipambana na hatimaye leo iko kwenye hatua nzuri ikiwemo bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo Mwakani Mungu akijaalia litawashwa kwa ajili ya kuzalisha umeme wa majaribio.
"Kwenye nia pana njia leo SGR nina pesa mpaka ya lot ya 6 kufika Kigoma sikutegema. Lakini kwa upande wa bwawa nadhani mwakani mapema mapema tunaanza kuliwasha na ku-generate umeme wa awali wa majaribio."- Mhe. Rais Samia Suluhu