Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kwahiyo wewe ndio unajua kuliko wataalamu wote serikalini ????

Wabongo bana.
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki, Tanzania tumepoteza mwelekeo tulitegemea mama atakuwa kiongozi ila nimeshangaa nae kawa mwanasiasa anafanya maamuzi kufikiria uchaguzi wa 2025.
 
Kwahiyo wewe ndio unajua kuliko wataalamu wote serikalini ????

Wabongo bana.
Hawa ni wajinga sana, wanashindwa kushauri chama chao huko wapo busy kumshauri Samia ambaye kazungukwa na wabobezi wa kila kona, eti leo hii Samia achukue ushauri wa vilaza kama hawa ambao wenyewe mambo yao yameparagakanya kila kona
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
MN
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Mkopo wa maaharti nafuu. Hayo ndio masharti alopewa
 
Hivi unajua mkopo usio na riba na wenye masharti nafuu maana yake? Unadhani Kikwete alipenda kununua yale mavyandarua nchi nzima kutoka kwenye 700bil alizopewa na Bush kwa aina hii ya mkopo? Hayo masharti unayajua ni yapi waliwekewa ili wapewe huo mkopo? Umewahi kukopa mikopo ya bank nafuu ya kujenga nyumba ambayo unalipa riba ndogo hata kwa miaka 30? Kajaribu kukopa huo mkopo uone hata utaweza kununua ka IST!! Acheni kuposti ujinga wenu hapa ili mradi tu ionekane mmeposti
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki, Tanzania tumepoteza mwelekeo tulitegemea mama atakuwa kiongozi ila nimeshangaa nae kawa mwanasiasa anafanya maamuzi kufikiria uchaguzi wa 2025.
The ambition of any politician is to take POWER, those in power and even in opposition. Depend on your own.
 
Hivi unajua mkopo usio na riba na wenye masharti nafuu maana yake? Unadhani Kikwete alipenda kununua yale mavyandarua nchi nzima kutoka kwenye 700bil alizopewa na Bush kwa aina hii ya mkopo? Hayo masharti unayajua ni yapi waliwekewa ili wapewe huo mkopo? Umewahi kukopa mikopo ya bank nafuu ya kujenga nyumba ambayo unalipa riba ndogo hata kwa miaka 30? Kajaribu kukopa huo mkopo uone hata utaweza kununua ka IST!! Acheni kuposti ujinga wenu hapa ili mradi tu ionekane mmeposti
Maskini mna matatizo nyie ndio mnakopa ili mkanywe bia.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Mwacheni mama Samia afanye vile aonavyo na matokeo yake mtayaona.
Ingalau hyu anashaurika kuliko yule aliyesema na its on record, sishauriki na mtu yeyote!
 
Back
Top Bottom