John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Serikali imeahidi neema kwa walimu huku ikiwataka waendelee kufanya kazi kwa moyo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 7, 2022 wakati aliposimama wilayani Butiama kwa ajili ya kusalimia wakazi wa wilaya hiyo.
"Walimu hoyeee, walimu mpo eehh sasa naomba niwaambie walimu mambo mazuri yanakuja endeleeni kuchapa kazi tumewajengea madarasa mazuri sasa kazi kwenu" amesema bila kufafanua zaidi.
Rais Samia amewataka wakazi wa wilaya ya Butiama kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea maendeleo huku akisema kuwa Serikali itaendela kushirikiana nao katika kuleta maendeleo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 7, 2022 wakati aliposimama wilayani Butiama kwa ajili ya kusalimia wakazi wa wilaya hiyo.
"Walimu hoyeee, walimu mpo eehh sasa naomba niwaambie walimu mambo mazuri yanakuja endeleeni kuchapa kazi tumewajengea madarasa mazuri sasa kazi kwenu" amesema bila kufafanua zaidi.
Rais Samia amewataka wakazi wa wilaya ya Butiama kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea maendeleo huku akisema kuwa Serikali itaendela kushirikiana nao katika kuleta maendeleo.