Rais Samia atumia dakika moja kwaajili ya kumwombea aliyewahi kuwa Spika wa bunge Job Ndugai

Rais Samia atumia dakika moja kwaajili ya kumwombea aliyewahi kuwa Spika wa bunge Job Ndugai

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa daikika moja yakumwombea aliyewahi kuwa spika wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliyefariki dunia Agosti 6, 2025, Rais Samia maefanya hivyo leo Agosti 8, 2025 katika maadhimisho siku ya Wakulima dunia (NaneNane) ynayofanyika kitaifa mkoani Dodoma.
 
Atakumbukwa kwa utumishi wake bungeni,akiwa ni spika wa kwanza mbabe kuwahi kutokea nchini. Apumuzike kwa amani.
 
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametumia dakika moja wakati akihutubia, kwa ajili ya kumuombea Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Marehemu Job Ndugai, wakati wa sherehe za maonesho Nanenane ambazo zinafanyika Jijini Dodoma, ambapo Rais Samia ndiye mgeni rasmi.

 
Anamuombea kweli au kimoyo moyo anasema bora amefariki maana tunajua kbs yeye ndo alimu -terminate U-Spika
 
Back
Top Bottom