Rais Samia Atoa milioni 100 kwa ajili ya Ukarabati kanisa la Katoliki Manyara

Haya ni matumizi yasiyofaa ya fedha za umma. Mara zote tunaambiwa tusichanganye mambo ya serikali na dini. Sasa hii ni nini? Mbona Mali za nchi zinatumika kuendeleza hizi mainstream religious groups, wenye dini za kijadi mbona hakuna mali za serikali zinazopelekwa huko? Au sababu dini za kimila hawalalamiki?
Kudai katiba mpya ilitakiwa iwe jana
Hizo ni pesa zake binafsi vinginevyo angemuelekeza waziri wa fedha palepale atoe hizo pesa, ila serikali ilijenga msikiti wa Bakwata Kinondoni hili halina ubishi.
76e9eede-ee1d-4020-ac1d-67423b1831b4.jpg
 
Alitakiwa akatoe ANGLICAN, LUTHERAN au MISIKITINI KATOLIKI sio wa level ya milioni 100 kwakweli ni kuwatania! Hili ni dhehebu tajiri!
Hawalazimishwi kupokea, wanaweza kuzikataa pamoja na kukataa kusamehewa ushuru wa forodha pale kwa DPW.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Katoa millioni 100 kutoka kwenye akaunti yake binafsi? Fafanua tafadhali.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Anawasaulisha😀😀
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Ndio uzuri wa kuwa na Rais TAJIRI.
...Milioni mia!
Angekuwa masikini kama Nyerere sijui angetoa nini?
 
Tanzania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?

Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mambo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
Mkuu hao viongozi wanaapa kwa kutumia biblia au quran

Serikali haina dini kivipi?Wakati wanaapisha wafanyakazi kwa viapo vya kidini na wanataja Muumba wa mbingu na nchi

Hata Marekani ,Viongozi wanatamka maneno ya kuomba msaada wa muumba mbingu na nchi wakati wa kuapa

Hakuna serikali ya kipagani katika dunia hii,Tawala nyingi zilipinduani kwa ukabila na udini

Udini na ukabila ndio silaha za kampeni mpaka ulaya na Marekani

Watu wanabaguliwa kwenye chaguzi za ulaya kwa dini zao na kabila zao

Huyo Samia kutoa pesa kanisani ni mambo yake binafsi na hakuna mahali wameonyesha vitabu vya ikulu vimekuwa Debited

Magufuli alitoa pesa barabarani na misikitini yalikuwa ni mambo yake binafsi na pesa zake ,Hakuna mahali wameonyesha vitabu vya ikulu vilikuwa debited
 
Mkuu hao viongozi wanaapa kwa kutumia biblia au quran

Serikali haina dini kivipi?Wakati wanaapisha wafanyakazi kwa viapo vya kidini na wanataja Muumba wa mbingu na nchi

Hata Marekani ,Viongozi wanatamka maneno ya kuomba msaada wa muumba mbingu na nchi wakati wa kuapa

Hakuna serikali ya kipagani katika dunia hii,Tawala nyingi zilipinduani kwa ukabila na udini

Udini na ukabila ndio silaha za kampeni mpaka ulaya na Marekani

Watu wanabaguliwa kwenye chaguzi za ulaya kwa dini zao na kabila zao

Huyo Samia kutoa pesa kanisani ni mambo yake binafsi na hakuna mahali wameonyesha vitabu vya ikulu vimekuwa Debited

Magufuli alitoa pesa barabarani na misikitini yalikuwa ni mambo yake binafsi na pesa zake ,Hakuna mahali wameonyesha vitabu vya ikulu vilikuwa debited
Wewe huelewi separation of church and state.

Na inawezekana huna uwezo wa kuelewa.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Hizo fedha ni zake binafsi au ni za walipa kodi? Tanzania haina dini?
 
Back
Top Bottom