Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944
Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani amewahimiza waumini wa dini zote kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassa ili kumpa nguvu zaidi katika kuwatumikia watanzania

Wito huo umetolewa katika misa takatifu ya mkesha wa sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Yohane Parokia ya Mpunze ambapo amesema ,Rais anafanya kazi kubwa kwa wananchi hivyo ni vyema kumuombea

“Ndugu zangu nawaomba tuendelee kumuombea Rais wetu anafanya kazi kubwa ya kuijenha nchi yeti,tazamq fedha nyingi anazotoa kwenye Afya,Maji,Elimu na Barabara na Fedha nyingi kwaajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo.” - Mhe Cherehani
 

Attachments

  • GCMWAYFXgAAN3U8.jpg
    GCMWAYFXgAAN3U8.jpg
    101.5 KB · Views: 2
  • GCMWBYRX0AAksqP.jpg
    GCMWBYRX0AAksqP.jpg
    105.3 KB · Views: 2
  • GCMWBboWgAARByP.jpg
    GCMWBboWgAARByP.jpg
    100.5 KB · Views: 3
  • GCMWBYRWEAApR83.jpg
    GCMWBYRWEAApR83.jpg
    104.7 KB · Views: 6
  • GCMWAX-WcAAH6AD.jpg
    GCMWAX-WcAAH6AD.jpg
    162.8 KB · Views: 2
  • GCMWAYDWMAATN8M.jpg
    GCMWAYDWMAATN8M.jpg
    89.5 KB · Views: 3
Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani amewahimiza waumini wa dini zote kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassa ili kumpa nguvu zaidi katika kuwatumikia watanzania

Wito huo umetolewa katika misa takatifu ya mkesha wa sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Yohane Parokia ya Mpunze ambapo amesema ,Rais anafanya kazi kubwa kwa wananchi hivyo ni vyema kumuombea

“Ndugu zangu nawaomba tuendelee kumuombea Rais wetu anafanya kazi kubwa ya kuijenha nchi yeti,tazamq fedha nyingi anazotoa kwenye Afya,Maji,Elimu na Barabara na Fedha nyingi kwaajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo.” - Mhe Cherehani
Mkuu huyo mbunge ana lake jambo, Magufuli aliomba kuombewa, kila mtu na Mungu wake, maombi yakasikika! Jamaa akapandishwa cheo cha malaika msimamizi!
 
Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani amewahimiza waumini wa dini zote kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassa ili kumpa nguvu zaidi katika kuwatumikia watanzania

Wito huo umetolewa katika misa takatifu ya mkesha wa sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Yohane Parokia ya Mpunze ambapo amesema ,Rais anafanya kazi kubwa kwa wananchi hivyo ni vyema kumuombea

“Ndugu zangu nawaomba tuendelee kumuombea Rais wetu anafanya kazi kubwa ya kuijenha nchi yeti,tazamq fedha nyingi anazotoa kwenye Afya,Maji,Elimu na Barabara na Fedha nyingi kwaajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo.” - Mhe Cherehani
Huyo ccm wengi mna tatizo la afya ya akili
 
Mimi nafikiri kila mtu ajiombee tu mwenyewe. Haya mambo ya kuanza kuombeana, ni kujipendekeza tu wakati mwingine.
 
Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani amewahimiza waumini wa dini zote kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassa ili kumpa nguvu zaidi katika kuwatumikia watanzania

Wito huo umetolewa katika misa takatifu ya mkesha wa sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Yohane Parokia ya Mpunze ambapo amesema ,Rais anafanya kazi kubwa kwa wananchi hivyo ni vyema kumuombea

“Ndugu zangu nawaomba tuendelee kumuombea Rais wetu anafanya kazi kubwa ya kuijenha nchi yeti,tazamq fedha nyingi anazotoa kwenye Afya,Maji,Elimu na Barabara na Fedha nyingi kwaajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo.” - Mhe Cherehani
Hili libunge ni jinga sana, linaungana na wahuni kuubia wakulima, yaani Kwndikwa alikuwa best, na mipiga kura ya huko sijui waliwezaje kuchagua jitu jizi, huni, halina akili, halina hekima, chawi, naamini CCM 2025 hawatafanya kosa kulirudisha hili jinga
 
Mbunge Cherehani: Tusiache Kumuombea Rais Samia

Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani amewahimiza waumini wa dini zote kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassa ili kumpa nguvu zaidi katika kuwatumikia watanzania

Wito huo umetolewa katika misa takatifu ya mkesha wa sikukuu ya Krismas iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Yohane Parokia ya Mpunze ambapo amesema ,Rais anafanya kazi kubwa kwa wananchi hivyo ni vyema kumuombea

“Ndugu zangu nawaomba tuendelee kumuombea Rais wetu anafanya kazi kubwa ya kuijenha nchi yeti,tazamq fedha nyingi anazotoa kwenye Afya,Maji,Elimu na Barabara na Fedha nyingi kwaajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo.” - Mhe Cherehani
"...fedha nyingi anazotoa..." malizia "toka mfukoni... nk"
 
Hili jamaa lilitelekeza kwao Hadi likipokuwa limbu-nge ndo likajenga kwenye kiwanja Cha mama yake aliyefariki miaka 30 nyuma na baba yake alikuwa na mke mwingine akahamua Kwa mke huyo.
 
Back
Top Bottom