SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Huyo hana akili kabisaKumbe ushaangalia majina? We una shida sana
Huyo hana akili kabisaKumbe ushaangalia majina? We una shida sana
Hili nalo nenoDo they qualify au kwa vile tuna majaji wa Rufaa ni kidogo? IS IT HEALTH KUWA Ukikosa Madaktari bingwa unateua Nesi/Medical Assistant au AMO kuwa Daktari Bingwa?
Maguuli alikuwa mpuuzi kwa hilo. Eti kwa vile mtu kaandika hukumu kwa Kiswahili, basi ni Justice of Appeal, STUPID
Wewe huna hata hizo akili.Wenye akili mbovu watakuja kuangalia majina na nasibisha na dini za watu ili kutengeneza hoja zao mfu