Kweli.Tanzania inahitaji katiba mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ili wananchi wenyewe wachague viongozi watakao wajibika moja kwa moja kwao.
Kwa utaratibu huu wa sasa hakuna kabisa vigezo vinavyoeleweka vinavyotumika ktk kufanya uteuzi wa hawa wanaitwa wakuu wa mikoa na wilaya na labda ndio maana unakuta ni watu wasio na weledi wowote kiuongozi.