MASWALI
1. Je, kila mara Rais anapofanya kikao cha baraza la mawaziri huwa umma tunapewa taarifa rasmi?
2. Je, serikali inawajibika kila wakati kutupa taarifa za uwepo wa kikao cha baraza la mawaziri kila kinapoitishwa?
3. Nini mantiki au umuhimu wa sisi watanzania kutangaziwa kuwepo kwa kikao cha baraza la mawaziri ikiwa kikao hicho ni utendaji wa kawaida wa serikali na ni kikao cha siri (ndani)?