Rais Samia aongeza viwanda vipya 30,000

Rais Samia aongeza viwanda vipya 30,000

Awamu hii imeipiku awamu ya tano kwa vitendo vya utekaji, utesaji, ufiraji, kupoteza na kuua wapinzani hasa Chadema.
 
Awamu hii imeipiku awamu ya tano kwa vitendo vya utekaji, utesaji, ufiraji, kupoteza na kuua wapinzani hasa Chadema.
 
viko wapi mbona huwa hatuvioni? viwanda alfu thelathini sio kitu kidogo ujue, manake kuna majengo 30,000 ya viwanda, uhalisia ungeonekana au vipo wapi hivyo viwanda? wakati wa magu tuliambiwa sijui kuna viwonder zaidi ya laki mbili, tulipouliza viko wapi wakasema hata cherehani ni kiwonder. tukasema sawa!
Ni vile vya Wachina vinavyotengeneza Jack Daniel’s kule Mbagala
 
Karakana, tailoring marts, mashine za kusaga na kukoboa pia zinahesabiwa kuwa ni viwanda
 

==​

Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.

Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .

Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.


View: https://www.youtube.com/live/sXTjrzsHUwU?si=kSsjr54A8rPZcZkE

Blenda ya mange umeihesabu kama kiwanda pia ee?
 

==​

Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.

Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .

Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.

View attachment 3400068
Kazi imefanyika Oktoba Tunatiki
 
Back
Top Bottom