Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,579
- 2,906
- Thread starter
- #61
kwa speed sanaKazi na iendelee Mitano hamtoshi
kwa speed sanaKazi na iendelee Mitano hamtoshi
sawaLakini
vijana wanamaliza vyuo hawapati ajira
NAKUBALIANA NA WEWE MCHAWI KATIBAMama aongezewe mpaka 2055.
2055 karibu napendekeza hadi 2500Mama aongezewe mpaka 2055.
WAENDE SHABANI MKUULakini
vijana wanamaliza vyuo hawapati ajira
watapata tuLakini
vijana wanamaliza vyuo hawapati ajira
==
Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.
Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .
Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.
View attachment 3400068