sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania