Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,477
- 11,773
Kasome Katiba ya nchi wewe wacha kukurupuka! Mama anaruhusiwa kumalizia miaka hii ya JPM na kugombea kipindi kimoja tu full stop! Kwa hiyo anaruhusiwa kugombea 2025 na kuishia 2030!Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.