Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Mi nakuambia wabongo wezi sana, na itabidi hizi project awe ana vouch personally,,
Kulikua na kiongozi mmoja anaitwa kambarage nyerere, alianzisha viwanda vya umma, akaweka wabongo wasimamie,, [emoji23][emoji23],kilichotokea, walifirisi kila kitu,, mpaka ilibidi ajitoe,,
Bashe aweke foremen kutoka kenya, china au israel kusimamia hiyo miradi,, wabongo watapiga tu[emoji1745]
Katika hao wezi, bashe yeye hayumo?
 
Katika hao wezi, bashe yeye hayumo?
Waziri anashika hela?, Ujue wanaoangusha hii nchi sio Rais au waziri,, ni huku chini, watendaji,
Nyerere alikua mzuri sana,, lakini nyerere hangeweza kukesha analinda safe za serikali nchi nzima,,
Wanaoharibu hii nchi ni watendaji wa chini kuanzia kata kuja level ya mkoa..,
Nasikia ikija katiba mpya itazuia wizi,, ngoja tuone😂😂
 
Hivi Serikali inaweza anzisha project ya kilimo Cha umwagiliaji na isijue maji ya umwagiliaji yatapatikana wapi!?
Unahisi kwa nini zinafeli? Mwaka huu wa fedha walisema watanenga mabwawa kwa ajili ya umwagiliaji. nikuulize hayo mabwawa yapo wapi? Nani wanayatumia kumwagilia?
 
Waziri anashika hela?, Ujue wanaoangusha hii nchi sio Rais au waziri,, ni huku chini, watendaji,
Nyerere alikua mzuri sana,, lakini nyerere hangeweza kukesha analinda safe za serikali nchi nzima,,
Wanaoharibu hii nchi ni watendaji wa chini kuanzia kata kuja level ya mkoa..,
Nasikia ikija katiba mpya itazuia wizi,, ngoja tuone[emoji23][emoji23]
Unanifanya sina akili? Hujui waziri anapigaje pesa? Au unatani?
 
Bora kujaribu ishindikanentujue hata hili pia haliwezekan, but plan ni nzuri sana, utekelezaji tu na kuepuka upigaji ndio vimebaki
 
Unahisi kwa nini zinafeli? Mwaka huu wa fedha walisema watanenga mabwawa kwa ajili ya umwagiliaji. nikuulize hayo mabwawa yapo wapi? Nani wanayatumia kumwagilia?
Hili linafanana na hoja yetu kweli!!?..upeo wako ukoje!!?..kujenga na kuwa na uhakika wa maji katika mradi vinafanana vipi!?...utasemaje mradi umefeli wakati haujajengwa!?
 
Ngano, alizeti tutakula wenyewe, na hii itaokoa fedha za kigeni tunazoagiza ngano toka russia na ukraine,
Mahindi tutauza kenya, matunda, vitunguu, viazi, etc tutauza arabuni
Je unahabari hivyo vyote ulivyovitaja vikitoka nje bei yake ni nafuu kuliko vya hapa nchini vilivyogharamiwa kuanzia kuandaa shamba mpaka kuvuna.
 
Waziri anashika hela?, Ujue wanaoangusha hii nchi sio Rais au waziri,, ni huku chini, watendaji,
Nyerere alikua mzuri sana,, lakini nyerere hangeweza kukesha analinda safe za serikali nchi nzima,,
Wanaoharibu hii nchi ni watendaji wa chini kuanzia kata kuja level ya mkoa..,
Nasikia ikija katiba mpya itazuia wizi,, ngoja tuone😂😂
Bado unaakili ya kitoto na haustahili kuwa hapa.
 
Hivi kweli tunaweza kufanya tafiti zozote za maana kwa elimu yetu hii ya madesa.
 
Zaidi ya Chuki hakuna Cha maana umeandika.Watu kama nyie ambao ni looser mnatakiwa kupuuzwa.

1.Miaka ya Leo haihitaji walimu wa agriculture wasio hata na shamba darasa ndio maana waliofundishwa na.hao walimu hakuna kitu wamefanya..

Elimu ya Sasa itafundishwa na watu walioko kwenye field Kwa kwenda kuona na kurudi kufanya practice.

2.Eti utafiti,Kwa taarifa Yako Serikali imeongeza Bajeti ya utafiti mara 6 zaidi ya ilovyokuwa hapo nyuma,inafufua mashamba ya utafiti,inatoa Vitendea kazi na inatoa mafunzo Kwa watafiti, Bajeti ya Kilimo Bil.950 Kuna pesa ya utafiti humo.
Kama mlishindwa huko awali ni nyie.

3.Hiyo namba 3 umeandika ujinga,kwani bila hiyo ZZK farm equipments hazipatikani? Serikali Kwa kushirikiana na private sector inawezesha ujenzi wa viwanda vitakavyochukua mazao ya wakulima na kuyaongeza thamani..

4.Aliyekwambia watu wote wanalazimishwa kwenda Dom ni nani? Ukiona hata form ya maombi au unapayuka upuuzi wako tuu?

Kwa taarifa Yako Kila muombaji alitakiwa kuomba kwenye eneo lake,hapo wameanza na watu wa Dodoma aila kuna.ekari 600,000 Nchi nzima na kote huko Vijana watafikiwa hatua Kwa hatuo,pilot project ndio imeanzia Kwa watu wa Dodoma na mazao yatakayolimwa ni Yale yanayokubali eneo husika na soko la uhakika.

5.Taasisi zimeandaliwa kuanzia wawezeshaji wa kipesa kama banks eg Benki ya rasilimali unapata mkopo wa riba ndogo na unapewa mda wa matazamio kulingana na mazao unayozalisha.

Regulators wengine nao wanafuata hivyo hivyo

Mwisho mazao mengi yatayozalishqa ni Yale ambayo tayari Yana soko,yaani kiufupi kinachofanyika ni contract farming.View attachment 2560555

Kinachokusumbua wewe ni ujinga na njaa tena njaa yako imehamia kichwani,huo mpango wa bashe ni upo kimaslahi ya kisiasa zaidi na kifisadi nothing more.
 
Wamesema wenyewe mwaka huu wa fedha bajeti iliongezwa zaidi mara 3 kutoka bil 250 hadi bil 750. Hivyo tulitegemea hayo yawezekane
Hata hivyo imebaki miezi mitatu tu mwaka wa bajeti kuisha na Hakuna matokeo chanya ya ongezeko hilo kubwa

Kumbuka pia hakuna bajeti ya kilimo iliyowahi kutolewa zaidi ya 50%
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Sawa
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Hapa umeongea siasa badala ya uhalisia.
 
Hakauna kitu anachofanya zaid ya siasa na pr ila ni waziri mbovu kuliko wote
Sidhani kama uko sahihi labda kama wewe ni muumini wa miujiza huyu huyu bashe ambaye amepambana hadi serikali inarudisha Ruzuku ya mbolea baada kuondolewa wakati JPM bado unasema mbovu,Leo wakulima wa mahindi wanaofuraha ya juhudi zao.Hatuwezi kuridhika wote lakini at least Kuna watu wanafurahia juhudi zao.
 
Hiyo namba moja tu ya somo la Kilimo shuleni kutokuwepo linaprove kwamba hata waziri hajafanya utafiti vizuri wa kilimo nchini,binafsi nilisoma Kilimo O'level,ile Elimu niliyoipata inatosha kabisa kurudi mtaani....... kwenye shule yetu tulijifunza mpaka kuendesha tractor,namna ya kuzikross breed mbegu,mbinu bora za Kilimo na mambo mengine mengi,Somo la Kilimo kufutwa tangu mtihani wa mwisho wa kidato Cha nne 2005.......at the same time 75%ya Watz ni wakulima.

NB Kila siku huwa naona nchi yetu tulichokosa ni viongozi wenye maono tu
 
Back
Top Bottom