Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Ulitowa fedha za jufikisha huo mradi kila mkoa?
Wamesema wenyewe mwaka huu wa fedha bajeti iliongezwa zaidi mara 3 kutoka bil 250 hadi bil 750. Hivyo tulitegemea hayo yawezekane
Hata hivyo imebaki miezi mitatu tu mwaka wa bajeti kuisha na Hakuna matokeo chanya ya ongezeko hilo kubwa
 
Block farming ilitakiwa uangalie eneo fulani linakubali mtama, wezesha watu wa huko waime huo mtama, na eneo fulani linakubali vitunguu wezesha huko watu watalima kwa wingi, shida za kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi ni hatari sana
Kweli Mkuu,nchi ingegawanywa kikanda kwa mfano Kanda ya kati (Dodoma na Singida) walime Alizeti,Mtama na Uwele na Kanda ya Kusini (Lindi na Mtwara)-walime Korosho nk.
Tungekuwa na Agroecological zones!
Pia ingehusisha na sekta ya mifugo na Uvuvi!
Sasa uyu Bashe kwa kweli ni kituko na Mama wanavyompamba na yeye anaingia kingi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kilimo cha dunia ni technolojia na sio siasa.

Yeye kaenda wakusanya watu ambao wengi wao ni jobless watalishwa siku 90 baada ya hapo watapandiwa mazao....
Nini kitatokea endapo mazao yasifikie lengo lao?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwanza tangu ateuliwe sijasikia ata amefanya ziara nje ya nchi kuona wenzake wanafanya nini!
Zimbabwe sasa hivi wanakimbiza kwenye Kilimo cha ngano.Aende Nigeria na Senegal a akaone wanaume wameanzisha Project za Kilimo kwa kushirikiana na Benki ya Afrika,kuanzia Production ya quality seeds, processing plants,storage, Marketing and Distribution!
Ethiopia tu hapo wanafanya vizuri sana kwenye uzalishaji wa mbegu!
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
MURUSI, Nimekukubali na nimeipenda Kwa kiwango ya juu huu mtizamo wako!
Huo ndio ukweli sana kama zile vyuo vya Kilimo tumeziua ilibidi turudi huko kuziinua na kurejea.
Mfano mwaka Jana nilipata pale SUA Morogoro Kwa kutaka kupata miche Fulani ya matunda, hakuna chuo Tena pale. Shughuli zote zimehamia Kwa watu binafsi kando.kando ndio wanaouza miche pale!
Kwa ufupi hakuna wataalamu Kilimo kwa Sasa. Hata wake wakufunzi mahiri hakuna Tena!

Pili tatizo la maji litaharibu mradi huu! Ilibidi sana kutengeneza mfumo huo.
Nguvu nyingi, Pesa mingi hii Hasara ataibeba Nani?!
Bado Kuna tatizo mahali!.
 
Kama kilimo ni cha irrigation, ardhi imepimwa, mbolea zipo, mbegu bora, madawa yapo,, hiyo haina kufell,
Kama israel wanaforce kulima jangwani, na wanatoboa,, hata Bashe atatoboa,, msimkatishe tamaa
 
MURUSI, Nimekukubali na nimeipenda Kwa kiwango ya juu huu mtizamo wako!
Huo ndio ukweli sana kama zile vyuo vya Kilimo tumeziua ilibidi turudi huko kuziinua na kurejea.
Mfano mwaka Jana nilipata pale SUA Morogoro Kwa kutaka kupata miche Fulani ya matunda, hakuna chuo Tena pale. Shughuli zote zimehamia Kwa watu binafsi kando.kando ndio wanaouza miche pale!
Kwa ufupi hakuna wataalamu Kilimo kwa Sasa. Hata wake wakufunzi mahiri hakuna Tena!

Pili tatizo la maji litaharibu mradi huu! Ilibidi sana kutengeneza mfumo huo.
Nguvu nyingi, Pesa mingi hii Hasara ataibeba Nani?!
Bado Kuna tatizo mahali!.
Unapoanza kuweka miundombinu, sharti pesa zitumike sana, nimeishi israel miaka 10,wale jamaa wanafanya high-tech agriculture na wanatoboa
 
Kama kilimo ni cha irrigation, ardhi imepimwa, mbolea zipo, mbegu bora, madawa yapo,, hiyo haina kufell,
Kama israel wanaforce kulima jangwani, na wanatoboa,, hata Bashe atatoboa,, msimkatishe tamaa
Ikiwa mbolea ya ruzuku kshindwa kucontrol, hili ataweza vipi? Hao Israel unaowasema kumbuka ni watu ambao hawana mambo ya siasa na sifa kwenye Maendeleo

Bashe nimemuona mtu wa maneno matupu kwenye issue ya mbolea. Ni muongo muongo sana
 
Block farming ilitakiwa uangalie eneo fulani linakubali mtama, wezesha watu wa huko waime huo mtama, na eneo fulani linakubali vitunguu wezesha huko watu watalima kwa wingi, shida za kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi ni hatari sana
Wezesha kivipi labda🤔au unasemea mikopo?,,
Wabongo watanywea bia tu,, hizo pilot project alizoanza, zikitoboa ndio utakuwa mfano.
Sikubaliani na kuwapa watu mikopo,, mikopo mingi inatoka, mijitu inakula, hairejeshi,,
Kama wabongo watafel, bashe aombe alete wakenya,,
Wakenya hawanaga mbambamba, wao NI KAZI TU😁
 
Ikiwa mbolea ya ruzuku kshindwa kucontrol, hili ataweza vipi? Hao Israel unaowasema kumbuka ni watu ambao hawana mambo ya siasa na sifa kwenye Maendeleo

Bashe nimemuona mtu wa maneno matupu kwenye issue ya mbolea. Ni muongo muongo sana
Bashe ana nia thabiti,, tatizo wabongo ni wezi sana na ni wavivu sana🤷
 
Bashe ana nia thabiti,, tatizo wabongo ni wezi sana na ni wavivu sana[emoji1745]
Wabongo unawasingizia tu, yeye ndio kiongozi. Kama kashindwa ku-manage issue ya mbolea tu hayo mengine anawezaje?
 
Wabongo unawasingizia tu, yeye ndio kiongozi. Kama kashindwa ku-manage issue ya mbolea tu hayo mengine anawezaje?
Mi nakuambia wabongo wezi sana, na itabidi hizi project awe ana vouch personally,,
Kulikua na kiongozi mmoja anaitwa kambarage nyerere, alianzisha viwanda vya umma, akaweka wabongo wasimamie,, 😂😂,kilichotokea, walifirisi kila kitu,, mpaka ilibidi ajitoe,,
Bashe aweke foremen kutoka kenya, china au israel kusimamia hiyo miradi,, wabongo watapiga tu🤷
 
Rais kama taasisi Iko Very smart, Inajua Michezo yote ya Bashe hata mama kuunda kamati maaalum tena Huru imshauri kuhusu Swala la Chakula na Kilimo ni Red light kwa Bashe na Team yake hapo Wizarani
 
Kwanza tangu ateuliwe sijasikia ata amefanya ziara nje ya nchi kuona wenzake wanafanya nini!
Zimbabwe sasa hivi wanakimbiza kwenye Kilimo cha ngano.Aende Nigeria na Senegal a akaone wanaume wameanzisha Project za Kilimo kwa kushirikiana na Benki ya Afrika,kuanzia Production ya quality seeds, processing plants,storage, Marketing and Distribution!
Ethiopia tu hapo wanafanya vizuri sana kwenye uzalishaji wa mbegu!
Ndio maana nasema ule mradi ni mfu, yeye anasema kuwa anataka 2030 aoneshe mabilionea wa kilimo, ila hajaonesha watalima nini,watauza wapi?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa mbolea ya ruzuku kshindwa kucontrol, hili ataweza vipi? Hao Israel unaowasema kumbuka ni watu ambao hawana mambo ya siasa na sifa kwenye Maendeleo

Bashe nimemuona mtu wa maneno matupu kwenye issue ya mbolea. Ni muongo muongo sana
Kule Israel wamefanya Research na Development zakutosha kabla hawajaanza lima.

Tanzania hatujafanya research yoyote ile, ni kwamba Waziri kaambiwa na mwenzake, kaona gap la kupiga pesa wamefanikisha lengo lao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mi nakuambia wabongo wezi sana, na itabidi hizi project awe ana vouch personally,,
Kulikua na kiongozi mmoja anaitwa kambarage nyerere, alianzisha viwanda vya umma, akaweka wabongo wasimamie,, [emoji23][emoji23],kilichotokea, walifirisi kila kitu,, mpaka ilibidi ajitoe,,
Bashe aweke foremen kutoka kenya, china au israel kusimamia hiyo miradi,, wabongo watapiga tu[emoji1745]
Kuhusu wizi ni kweli, kama dawa yatakiwa iwekwe 5lts kutosha shamba zima basi ataweka 500mil afu 4.5lts atauza

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kule Israel wamefanya Research na Development zakutosha kabla hawajaanza lima.

Tanzania hatujafanya research yoyote ile, ni kwamba Waziri kaambiwa na mwenzake, kaona gap la kupiga pesa wamefanikisha lengo lao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna vijana waliwahi kwenda israel kusomea kilimo,, mzumbe pale nasikia kuna shule ya kilimo, wao mda wote wanafanya kilimo,,
Wataalamu wapo, tatizo ni tabia ya udokozi wa hela😁
 
Baada ya msimu mmoja wataanza kupungua mmoja baada ya mwingine.
Block farming sio suluhisho la mapinduzi ya kilimo.
Nyakati hizi ni za kutumia teknolojia, sasa Mhe. Bashe yeye bado anaamini kwenye nguvu kazi. Tujiulize zile schemes za umwagiliaji zimefia wapi?
Ni kweli Mhe. Bashe anauthubutu ila ni uthubutu wa kisiasa. Ardhi tunayo ya kutosha tunachokosa ni teknolojia.
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Yote ni sawa, nakubaliana nawe kabisa, kuwa something is missing..

Lakini tatizo kubwa zaidi, mimi nadhani ni la KISERA zaidi...

Hakuna sera maalumu ya kusimamia. kilimo cha Tanzania..

Kila kiongozi kuanzia Rais hadi mawaziri wake anaokuja nao kusimamia sekta ya kilimo huja na yake kichwani na kufuta ya mtangulizi wake...

Mfano sera ya KILIMO KWANZA ya nyakati za Jakaya Kikwete iko wapi? Si ilitafunaga mabilioni ya pesa lakini ikayeyuka kama mvuke..??

You are very right ndugu MURUSI kuonesha wasiwasi wako kwenye hili, nami nakubaliana nawe kwa 100% Kwa sababu tulishaliwa Kwa namna hii hii..

NINI UTATUZI WAKE?

Kwa hakika kabisa chanzo cha matatizo yetu mengi kama nchi likiwemo hili la sekta ya kilimo kushindwa kumkomboa mtanzania toka ktk umsdikini ni ubovu wa katiba yetu ya nchi ambayo imerundikia madaraka na maamuzi mtu mmoja tu aitwaye Rais..

Kwa hiyo, utatuzi au suluhu ya tatizo hili ni KATIBA MPYA tu itakayokuwa specific kifanyike nini na kwa namna gani kwenye kila eneo la kiuchumi kikiwemo kilimo....

Tuungeni mkono harakati za kutaka KATIBA MPYA...
 
Kama kilimo ni cha irrigation, ardhi imepimwa, mbolea zipo, mbegu bora, madawa yapo,, hiyo haina kufell,
Kama israel wanaforce kulima jangwani, na wanatoboa,, hata Bashe atatoboa,, msimkatishe tamaa
Hao Israeli wanawataalam au nao wanatumia makada na wale jamaa zake Lema wafukuza upepo?
 
Back
Top Bottom