Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Hizi program zimefanywa sana na Makanisa ya Kiroho kuanzia enzi za Kilimo Kwanza ya Kikwete

Askofu Gamanywa na wengine walifanya sana hii ikafeli

Kumbe unakumbuka hata ile siasa ni kilimo, kilimo ni uti wa mgongo, hii itafeli na nchi itawategemea wakulima wadogo kama kawaida kilimo sio kulazimisha ni passion ya mtu, hasa hao vijana waliopelekwa huko wanaamini kwanza wanaenda kua mabilionea hapo tatizo linaanzia hapo na navowajua wabongo watapungua mmoja mmoja hasa pesa ikipungau halafu programme itaishia hapo
 
Mbona Bashe hazungumzii masoko? Mkwamo mkubwa katika kilimo cha Tanzania ni masoko na pembejeo. Kama masoko na pembejeo zitapatikana kwa wingi kilimo kitajibeba chenyewe.
 
Ungewekeza kutuonesha ubaya wa hiyo programme iliyozinduliwa jana na Rais tuone udhaifu wake, lakini sio kuleta habari za mapinduzi ya elimu ya kilimo, utafiti, viwanda...

Hayo yote uliyoorodhesha yako nje ya huo mpango, kwangu bado sijaona tatizo la hiyo programme, nasubiri mpaka pale watakapovuna kisha nione wakulima watafaidika vipi.
 
Sio rahisi kuanza na vyote, na kila safari huanza na 0 km.
kwakuwa mama yetu huwa anapitia jamii forum atachukua hilo la uhaba wa watalaam wa kilimo ,hatuhitaji kupinga kila kitu , kilimo kimiajiri zaidi ya 84% ya population , ukitaka kutoa wananchi wengi kwenye umaskini basi fanya empowerment kwenye kilimo,awamu 4 ilijaribu kuleta matrector, power tillers , etc we still need to further ...strategy. hii ya sasa inaweza kuleta mapinduzi ya kilimo....
 
Pamoja na mapungufu kidogo ya Bashe, bado mimi ndio naona ndiye waziri bora wa kulimo toka tupate uhuru,na atakipeleka kilimo katika viwango vikubwa sana.
Watoto mnaoishi kwa baba mnashida sana inamaana huoni bei ya mazao ilivyopanda huko sokoni unamsifia kwa lipi alilofanya

Chochote anachofanya kama waziri lazima kiwe reflected kwenye bei ya mazao sokoni tofauti na hapo ni siasa na propaganda
 
Mama kanyaga twende tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya miaka 7.
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Huu uzi umeandikwa na mtu mwenye akili sana, hongera mtoa post.
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Bashe amethubutu muache asongembele...
Nimekuwa nikisema tuna CHUO bora kabisa cha kilimo pale Sua ila hatunufaiki nacho kiivo
Akija muwekezaji akasema anahitaji Alizeti tani laki moja hatuna, Pamba, ufuta, miwa nk kila kitu tuna bahatisha; leo kipo kesho hakipo. Tuna kosa consistence na ndio sababu tunakosa masoko. India inakupa tenda ya kussupply mbegu, unapeleka mwaka mmoja mwaka unaofuata wakulima wameamua kulima kitu kingine?
yaani watu wengine hata siwaelewi;
Project ya vijana 800 tu tena ya Pilot study ndio inawatoa Povu?
Hebu tuwaacheni tuone mafanikio na changamoto zake, tuta improve zaidi huko mbele!
 
Pamoja na mapungufu kidogo ya Bashe, bado mimi ndio naona ndiye waziri bora wa kulimo toka tupate uhuru,na atakipeleka kilimo katika viwango vikubwa sana.
Nafikiri huyu Jamaa humfahamu vizuri, nikwambie tu huyu yeye mwenyewe haamini katika hicho kilimo.
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Uko sahihi, lakini kwa uchumi wetu lazima twende taratibu. Hatuwezi kuanza na yote hayo mara moja
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Hivi huwa mnawashwa tu kuanzisha Uzi au!?...serikali inaweza kuanzisha project Kama hiyo bila kuchanganua mambo!?
 
Bashe akiendelea kuwa Waziri wa Kilimo, mchele na mahindi yote yatasombelewa na kupelekwa Somalia na Kenya kila mwaka.

Wakati wa mavuno, atawaleta ndugu zake wafanyabiashara kuja kununua mazao ya wakulima kwa bei chee kwa kisingizio cha soko huria, na mwisho wa siku kuendelea kutusababishia mfumuko wa bei katika bidhaa za chakula.
Nawashangaa wanaomsifia Bashe! Bongo ukijua kupiga domo unateka watu wengi sana!
Tuangalie impact ya utendaji wake na siyo longolongo anazopiga!

Makosa makubwa 2 aliyochangia, ambayo kwa nchi nyingine angekuwa ameshawajibishwa muda mrefu tu;
1. Kuruhusu mazao kuuzwa njeya nchi kiholela na hivyo kusababisha mfumuko wa bei na hali ngumu ya uchumi. Unaruhusu wafanya biashara toka nchi jirani kununua mazao toka shambani moja kwa moja kwa mkulima. Akajisifu kupanda bei kunamnufaisha mkulima wakati uhalisia siyo hivyo. Kwanza unaondoa tabaka kubwa la wafanyabiashara wa kati ambao kimsingi ni wazawa. Kwa hiyo faidi ya biashara ya kati iliyotakiwa ibaki nchini inachukuliwa na wafanyabiashara wa nje. Ambalo Bashe hajui ni kwamba mkulima anauza mazao yake yote kwa bei ya chini mwanzo wa msimu, na mkulima huyohuyo anakuja kustrugle sana kununua chakula kwa bei ya juu sababu hali yake ya uchumi ni mbovu ukilinganisha na wa mjini. Kwa hiyo bei ya juu kwa mifumo iliyopo haimsaidii mkulima ila inamuumiza!

2. Kupanda bei kwa pembejeo za kilimo. Hili limekuwa bomu kubwa ambalo lingeweza hata kuitikisa serikali. Walifuta mfumo wa wa bulk purchase kama unaotumika kwenye mafuta ambao kihistoria ulifanikiwa sana kudhibiti bei ya mbolea. Baad ya kuona “mfumo huria” umeleta madhara makubwa wakaja na “ruzuku”, kitu ambacho kiutendaji ni ngumu kufanikiwa. Ndiyo maana kila siku kuna story za; mbolea kutoroshewa nje ya nchi, walengwa kukosa mbolea, wanaopata wanapata kwa maumivu ya kusubiria hadi masaa 24 nk.

Hayo mambo mawili ambayo ni makubwa sana yalitosha kumwajibisha Bashe.
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Kweli.
Kilimo ni sayansi. Hivyo inapaswa kupitia hatua fulani mahsusi ili kufanikisha kilimo.
Elimu ni kitu mhimu sana katika kila jambo.
Kwenye kilimo kuna mambo mengi sana kama vile wadudu na namna ya kuwaangamiza, rutuba na mbolea, upandaji na ukarabati wa ardhi.
Mambo haya yote huhitaji elimu.
 
Back
Top Bottom