Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Bashe ndio aliagiza?
Wewe kibwengo huwaga huna hoja achana na mimi! Bashe na bibi yenu si ndo walifungulia mipaka mchele ukauzwa wote Bashe huyo huyo akatoa vibali kuagiza mchele kutoka nje!
Hapo unaona kuna akili au ujinga?
 
IMG-20230315-WA0000.jpg
 
Wewe kibwengo huwaga huna hoja achana na mimi! Bashe na bibi yenu si ndo walifungulia mipaka mchele ukauzwa wote Bashe huyo huyo akatoa vibali kuagiza mchele kutoka nje!
Hapo unaona kuna akili au ujinga?
Kwani mipaka imefungwa Sasa hivi? Kilimo ni biashara wewe tumbili jike, mkulima hayupo kukuza likitambi lako elewa Hilo.
 
I can't beat your stupidity and nonsense
Hapo nonsense ni wewe au mimi?
Mpuuzi kweli hicho kingereza uchwara ndo unanitishia mimi?
Hata huyo waziri wako wa Very danger huwa anamaneno na misamiati uchwara isiyo na matokeo!
 
Kuhusu wizi ni kweli, kama dawa yatakiwa iwekwe 5lts kutosha shamba zima basi ataweka 500mil afu 4.5lts atauza

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
WaBongo, sisi waTanzania ni shida.
Kama watu waliaminiwa kwenye ghala la mbolea lakini wakapiga na kuweka mchana Kwa mifuko ipatayo 760 + bado kwenye mambo makubwa haya watacheza na akili za wenyewe tuu.
Sheria ziwekwe na adabu zake juu/chini na ndio maana KATIBA mpya yenye mrengo wa technolojia ya Sasa na kizazi kijacho ni muhimu sana.
Na pia Elimu ya kilimo mashuleni ianze au iendelezwe Kwa kazi kubwa.
 
Nitajie masoko watakakouza hayo mazao
Ngano, alizeti tutakula wenyewe, na hii itaokoa fedha za kigeni tunazoagiza ngano toka russia na ukraine,
Mahindi tutauza kenya, matunda, vitunguu, viazi, etc tutauza arabuni
 
Inasikitisha sana hii nchi mtu anaweza Danganya hadi Maproff na wakaaa kimya ila ukweli wanaujua.

Bashe anazungumzia Block za Kilimo mara mapinduzi ya kilimo, hii ni hadaaa kubwa sana.

Huwezi zungumzia Mapinduzi ya Kilimo bila kuanza kuhakikisha vitu vifuatavyo;

1. Mapinduzi ya Elimu ya Kilimo- Kwa sasa kuna uhaba wa walimu wa Agricultire zile shule za michepuo ya kilimo zimebakia jina tu hakuna tena ile nguvu ya shule za Kilimo kama ilivyo kuwa enzi zile.

Vyuo vya kilimo- Tembelea vyuo hivi ya kilimo unaweza lia, vyuo ni tamabakia magofu tupu pale, Majengo choka mbaya, Wakufunzi wenyewe ni walisha kata tamaa, hakuna vifaa ya kujifunza na kufundishia.

Kama hujawekeza kwenye Elimu ya Kilimo, hayo pinduzi yanaletwa na nani?

2. Utafiti- Still bado hakuna uwekezaji wa maana kwenye utafiti wa mambo ya kikimo, taasisi za utafiti zina pesa tu ya kawaida.

3. Mapinduzi ya viwanda vya Kilimo ambavyo sana vitasababishwa na mapinduzi ya elimu za kilimo
Dhana za kilimo tunazo tumia asilimia 100 tunaagiza nje, wapi ile ZZK Mbeya? Si waliaha badilisha kuwa kiwanda cha Pombe?

4. Huwezi force watu wote vijana wakusanyike Dodoma na Kigoma kulima mazo mnayo taka nyie,

Kuna Kijana anataka kuwekeza labda kulima Tangawizi yuko Same huyu hana namna anapaswa kwenda kulima alzeti Dodoma kwenye zile Block.

Kijana yuko Rombo anataka kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha migomba na yeye aende Dodoma?

Kijana yuko Rungwe pia huko Mbeya anataka kulima ndizi vipi aende Dododma.kwenye Block?

5. Je taasisi zote za Serikali zimeandaliwa kusapoti kilomo? Kuna Policy zimeandaliwa na wanapaswa kusaini? Ili basi wasapoti mapinduzi ya kilimo au ni hadaaa?

Vipi Policy ya TANESCO kuhusu kusapoti kililimo inasemaje?

Vipi policy ya TBS kwenye kukuza kilimo?
Vipi Policy ya mamlaka my be za maji safi na maji taka?

Vipi Policy ya Jeshi la Police hasa Trafiki, je wana mwongozo wa kusaidia kilimo hasa zile swagwa zao za kusimamisha simamisja magari hata yanayo wahisha mazao ya kilomo sokoni?

Commercial Bank kuna sehemu wanabanwa ili wasapoti Kilimo? au ni uamuzi wao?

Kama policy zipo je zisipo tekelezwa kuna watu wanawajibishwa?

Mapinduzi ya kilimo sio aina hio tunayo aminishwa na Bashe hapo, bado sana
Kosa si la Bashe bali wale walioteua Msomali pamoja na ukweli kuwa wasomali wanatubagua na kutubagua sawa na waarabu na wahindi na wazungu japo wao ni wamakonde wenzetu tena wenye sura mbaaaaaxxxya kuliko zetu.
 
Hatutakuja kuelewa Anachofanya Bashe hadi tuone matokeo, Kilimo kinalipa ila ni kikiwa kilimo cha kisasa nathrough (Block Farming) na uwakika wa maji wa 100% why nasema hivi

1) Kijana ataweza lima misimu 2 hadi 3 kutokana na uwakika wa maji hivyo mazao yatapata maji hata kipindi cha ukame .. kwa uzalishaji huu tu ni more income to farmers but they have to be very dedicated farmers why nasema hivi me nimelima Alizeti nikitoa Alizeti Na weka Dengu
Alizeti Nalima Early October Napanda Kwenye Nov Ili ile mvua ya kwanza mazao yapatae maji natoa january -february ambayo naanza aanda shamba ili kupanda Dengu kwenye late march au mid march ila inahitaji dedications na faida zinaonekana

2) Masoko Masoko Masoko, kulima mpaka kuvuna ni one thing the other thing ni masoko kama watakuwa na masoko yanayoeleweka as stated basi wale jamaa watapiga hatua kubwa sana na utakuwa mradi mkubwa wa Kilimo maana kwenye masoko ndo bei inaingia hapo na ndo fedha inapoguswa yawepo pia


3) Sustainability ya water access
4) Input supplies
Wakifanikiwa hapa watapiga bao sana naona muelekeo ni mzuri heko kwa mama samia na bashe hii ni kubwa sana
 
Ni tapeli makini sna Ni tapeli haswa


Imagine aliuza nyakula nnje ya nchi yye huyo huyo amekwenda kuagiza tani elf90 za Michele vatcan hyo Ni akili au matope

Anakuja kitulisha mmavyakul vya nnje huku tumeuza yetu kwa Bei za kupwa

Siku nilivyosikia wazir prof mkenda akimvimbia Bashe na kumuita mjinga ndio nimeamini kuwa jamaa Ni mpiga debe

Eti anasema atazalisha mabilionear 100 had kufika 2030

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyu msomamli ni tapeli sn lakini watu hawamjui amejificha kwenye udini na bahati nzuri bibi tozo ni mdini mzuri hivyo wanaenda vizuri sn
 
Nawaza kwasauti... Isije ikawa nilile lile tatizo wahisani wanatupa b500 za project flan alafu b400 zinaenda kweny kujenga uwezo.

Key:b=billions
 
Sio rahisi kuanza na vyote, na kila safari huanza na 0 km.
Ni kweli lkn kuna vitu vya msingi kuangalia kabla ya kuanza safari ukivipuuza hufiki popote mfano, kwenye gari huwezi kuanza safari bila kuangalia mafuta, maji, oil, break indicators nk.
 
Et mapinduzi ya kilimo 😅😅 Msomali bhana kawashika Akili Watanzania
 
Back
Top Bottom