Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Rais Samia anadanganywa sana Mapinduzi ya Kilimo ya Bashe

Lakini awe msikivu anapokosolewa sio awe anawasikiliza Chawa zaidi maana wale wapo kwa maslahi yao sio ya Nchi !!
Kwa hiyo wewe ukiyekosoa umefanya kipi tangible Ili wengine wajifunze? Au unapanua domo tupu?
 
Block farming ilitakiwa uangalie eneo fulani linakubali mtama, wezesha watu wa huko waime huo mtama, na eneo fulani linakubali vitunguu wezesha huko watu watalima kwa wingi, shida za kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi ni hatari sana
Wewe unajua hayo kuliko Wataalamu walio design hiyo model? Kwa akili Yako unajua wamekurupuka? Au unadhani wanategemea mvua ?
 
Wewe matakle nini? Waulize demu wako na dada zako, msaada wanaokupatia huwa wanautoa kwa nani yao.
Usijipe kiburi cha fake ID ukidhani umejificha kumbe tunakuchora tu.
Huna lolote zaidi ya Kulamba lololo,Cha maana ulichofanya kwenye kilimo Ili watu wajifunze ni kipi? Au unaropoka tuu
 
Bashe ni tapeli anapiga pesa haswa huko, kubwa ambalo analifanya ni kumsifia bibi tozo naye ni mpenda sifa kichwa kina vimba haswa
Ni tapeli makini sna Ni tapeli haswa


Imagine aliuza nyakula nnje ya nchi yye huyo huyo amekwenda kuagiza tani elf90 za Michele vatcan hyo Ni akili au matope

Anakuja kitulisha mmavyakul vya nnje huku tumeuza yetu kwa Bei za kupwa

Siku nilivyosikia wazir prof mkenda akimvimbia Bashe na kumuita mjinga ndio nimeamini kuwa jamaa Ni mpiga debe

Eti anasema atazalisha mabilionear 100 had kufika 2030

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Rais kama taasisi Iko Very smart, Inajua Michezo yote ya Bashe hata mama kuunda kamati maaalum tena Huru imshauri kuhusu Swala la Chakula na Kilimo ni Red light kwa Bashe na Team yake hapo Wizarani
Bado anaendelea kukalia ofisi kwa heshima ya Godfather wake bwana Aziz,tofauti na hapo anapuyanga tu.
 
Bashe akiendelea kuwa Waziri wa Kilimo, mchele na mahindi yote yatasombelewa na kupelekwa Somalia na Kenya kila mwaka.

Wakati wa mavuno, atawaleta ndugu zake wafanyabiashara kuja kununua mazao ya wakulima kwa bei chee kwa kisingizio cha soko huria, na mwisho wa siku kuendelea kutusababishia mfumuko wa bei katika bidhaa za chakula.
Alfu eti anakwenda kutuagizia mchele vatinamu huku wa kwetu tumeuuza kw Bei Chee mno Ni waziri mjinga kuwai kuwepo Toka serekali ziazishwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mimi ile siku wanatangaza kuagiza tani 90 za mchele ndo nilijua kabisa kile kichwa Bashe amekibeba tu kinachosha misuli ya shingo! Yaani ujinga ujinga tu!
 
Yaani mimi ile siku wanatangaza kuagiza tani 90 za mchele ndo nilijua kabisa kile kichwa Bashe amekibeba tu kinachosha misuli ya shingo! Yaani ujinga ujinga tu!
 
Back
Top Bottom