Rais Samia amefanya vizuri ndani ya miezi saba madarakani

Je nchi inaendeshwa na nini kama siyo Kodi, tozo na mikopo?

Masuala ya uchumi siyo mepesi kujadiliwa na mtu wa kawaida kama chamilo nicolous. Kitu unachoweza kuendesha bila tozo, kodi na mikopo ni familia yako na kanisa la pentekoste
Achana na fala huyo wewe, upumbavu wake akamshauri Mbowe,lilivyo jinga halielewi kwamba population yenye afya ndio nguvu Kazi bora,jamii yenye elimu ndio italeta tija kwenye sekta za biashara na uzalishaji na halielewi kwamba leo hii Life expectancy imeongezeka na child mortality imepungua Kwa vile tuu serikali ilijitahidi kuboresha afya za watu

Utakuta hao Ndio wanasema wanataka Katiba mpya afu washike madaraka,bora kuwapiga Pini tuu
 
Akili mavi kama hizi subiria chadema ikiingia madarakani mwambie Mbowe.

Kwanza naona kinyaa hata kukujibu ,umejaza makamasi kichwani badala ya akili,,eti haelewi afya inachangia vipi ukuaji wa uchumi..

Yaani wewe ni kiazi ingia NBS kaangalie sekta ya Afya inachangia uchumi kwa kiasi gani.
Ninyi ndio matahira mnaoamini Nchii hii ni masikini bado inahitaji misaada kutoka Marekani
 
Achana na fala huyo wewe, upumbavu wake akamshauri Mbowe,lilivyo jinga halielewi kwamba population yenye afya ndio nguvu Kazi bora,jamii yenye elimu ndio italeta tija kwenye sekta za biashara na uzalishaji na halielewi kwamba leo hii Life expectancy imeongezeka na child mortality imepungua Kwa vile tuu serikali ilijitahidi kuboresha afya za watu

Utakuta hao Ndio wanasema wanataka Katiba mpya afu washike madaraka,bora kuwapiga Pini tuu
Soma vizuri, nimesema walimu Nchi nzima ni 120,000, hawa ni walimu wa shule ya msingi na sekondari.Zingatia shule za msingi ni ×3 ya Shule za sekondari. Shule za sekondari Nchi nzima za Serikali ni 4500.
Chukulia wasitani @ shule watoto 400 kidato 1---4
Jumla ya wanafunzi = 4500×400= 1800000
wanafunzi/walimu= 1800000/36400= 50
Utakuta Mwalimu 1 anahudumia watoto zaidi ya 50, ambapo ni kinyume na taratibu, usitumie upumbavu wako kushadadia ujinga.
Mind you! Wenye akili tupo wachache, After All siamini kuongozwa na vibibi!
 
Soma vizuri, nimesema walimu Nchi nzima ni 120,000, hawa ni walimu wa shule ya msingi na sekondari.Zingatia shule za msingi ni ×3 ya Shule za sekondari. Shule za sekondari Nchi nzima za Serikali ni 4500.
Chukulia wasitani @ shule watoto 400 kidato 1---4
Jumla ya wanafunzi = 4500×400= 1800000
wanafunzi/walimu= 1800000/36400= 50
Utakuta Mwalimu 1 anahudumia watoto zaidi ya 50, ambapo ni kinyume na taratibu, usitumie upumbavu wako kushadadia ujinga.
Mind you! Wenye akili tupo wachache, After All siamini kuongozwa na vibibi!
Takwimu hujitetea zenyewe. Kama hataelewa hata hapa, achana naye. Kuna watu kuwa wajinga, kwao ni ufahari.
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Hii ni zaidi ya zawadi kwa Watanzania.
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Mirembe hospital wana open day leo, nenda upimwe akili yako. Are you serious what you have written?
 
Soma vizuri, nimesema walimu Nchi nzima ni 120,000, hawa ni walimu wa shule ya msingi na sekondari.Zingatia shule za msingi ni ×3 ya Shule za sekondari. Shule za sekondari Nchi nzima za Serikali ni 4500.
Chukulia wasitani @ shule watoto 400 kidato 1---4
Jumla ya wanafunzi = 4500×400= 1800000
wanafunzi/walimu= 1800000/36400= 50
Utakuta Mwalimu 1 anahudumia watoto zaidi ya 50, ambapo ni kinyume na taratibu, usitumie upumbavu wako kushadadia ujinga.
Mind you! Wenye akili tupo wachache, After All siamini kuongozwa na vibibi!
Ima unapenda au hupendi,Rais Samia ndiyo kiongozi wa watanzania wote na wewe ukiwemo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom