Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Achana na fala huyo wewe, upumbavu wake akamshauri Mbowe,lilivyo jinga halielewi kwamba population yenye afya ndio nguvu Kazi bora,jamii yenye elimu ndio italeta tija kwenye sekta za biashara na uzalishaji na halielewi kwamba leo hii Life expectancy imeongezeka na child mortality imepungua Kwa vile tuu serikali ilijitahidi kuboresha afya za watuJe nchi inaendeshwa na nini kama siyo Kodi, tozo na mikopo?
Masuala ya uchumi siyo mepesi kujadiliwa na mtu wa kawaida kama chamilo nicolous. Kitu unachoweza kuendesha bila tozo, kodi na mikopo ni familia yako na kanisa la pentekoste
Utakuta hao Ndio wanasema wanataka Katiba mpya afu washike madaraka,bora kuwapiga Pini tuu