Habari wanajamvi,
Huyu mama amekuwa anaupiga mwingi mpaka unamwagika, lakini akitaka tumkumbuke katika utumishi wake asithubutu kutumia fedha hata senti 5 kuendesha uchaguzi kiiinimacho bila tume huru ya uchaguzi Zanzibar na Tanganyika.
Tukubaliane kabisa na wapinzani mkubali hizo fedha tununue vitanda vya kujifungulia akina mama na maisha yaendelee mpaka pale tutakapopata marefa wa ukweli.
Nawasilisha.
Huyu mama amekuwa anaupiga mwingi mpaka unamwagika, lakini akitaka tumkumbuke katika utumishi wake asithubutu kutumia fedha hata senti 5 kuendesha uchaguzi kiiinimacho bila tume huru ya uchaguzi Zanzibar na Tanganyika.
Tukubaliane kabisa na wapinzani mkubali hizo fedha tununue vitanda vya kujifungulia akina mama na maisha yaendelee mpaka pale tutakapopata marefa wa ukweli.
Nawasilisha.