Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha viongozi wateule Ikulu dogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 01 Septemba, 2023.
Rais Samia amewakumbusha viongozi walioapa kuishi kiapo chao pia. Kwa wateule wapya, amewataka kupaza sauti kwenye matatizo ya wananchi kama walivyokuwa wanafanya wakiwa wabunge wa kawaida.
Rais Samia amesema Mabadiliko haya sio adhabu, bali yamefanyika ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi kwenye maeneo mbalimbali yanayohusu wananchi, viongozi ni watumishi wa watu.
Amewaaomba viongozi hao kuwa wapole kwani upole sio ujinga, watulie watumikie watu.
Rais Samia amewakumbusha viongozi walioapa kuishi kiapo chao pia. Kwa wateule wapya, amewataka kupaza sauti kwenye matatizo ya wananchi kama walivyokuwa wanafanya wakiwa wabunge wa kawaida.
Rais Samia amesema Mabadiliko haya sio adhabu, bali yamefanyika ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi kwenye maeneo mbalimbali yanayohusu wananchi, viongozi ni watumishi wa watu.
Amewaaomba viongozi hao kuwa wapole kwani upole sio ujinga, watulie watumikie watu.