Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Rudia kusoma nilichokiandika.Nani siyo mtanzania kwenye huo uteuzi hapo?
Rudia kusoma nilichokiandika.Nani siyo mtanzania kwenye huo uteuzi hapo?
Acha kujilisha upuuziPunguani mkubwa, kwa taarifa hakuna alowahi kuwa mwadilifu tanesco kama mramba.
Mcha mungu na mtenda haki.
Uchaga ulimponza na ilitumika kiki ya kijinga kama iliyotumika kumuondoa mkurugenzi wa mihimbili ili aweke msukuma mwenzake,
Uongozi wa mwendazake ulikuwa wa kikabila sana
Chief hangaya hana roho mbaya ya jiwe aiseeHakuna nafuu yoyote kwa Hawa watu. Subiri baada ya mwaka utaelewa.
2023 huko na kuendelea kutakuwa na mabalaa Kama ya jiwe.
Tatizo ni mfumo mbovu na siyo watumishi, baada ya miezi 6 utaniambia maana hakuna miujiza atafanya.U yo jamaa alietoka Multichoice yuko vizur sana.
Tanesco wameula
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sukuma gang wote walijiona MaraisWatu walipiga kelele sana. Unadhania “Sukuma gang” limeanzia wapi?!
Samia amefanyaje maisha magumu, maana ka ni wakandarasi wameanza kulipwa kwa Kasi ya 4g haonei mtu tuko free hamna hofu hyo inatosha kabisa, magu staki hata kumsikia aiseeIla mimi nina chuki na Samia ile mbaya natamani hata Hamza angempiga yeye shaba,amefanya maisha kuwa magumu zaidi na hakuna hope tena,bora Magufuli mara 100
Ulitaka kina nani wajazane huko wewe?Kwa hiyo unataka kuniambia kule CRDB wenye vigezo vya kuajiriwa ni wachaga peke yako, maana huko ndio mmejazana utafikri ile ni benki ya wachaga.
Kumbe na wewe uko hivi na hyo ndio true color yakoSorry but not sorry
Umejuaje kama haonei mtu,unatumia kipimo gani kujua kwamba haonei mtu,sema labda hakuonei weweSamia amefanyaje maisha magumu, maana ka ni wakandarasi wameanza kulipwa kwa Kasi ya 4g haonei mtu tuko free hamna hofu hyo inatosha kabisa, magu staki hata kumsikia aisee
Aliwajaza kila corner mkuu bila kujali hata uwezo na alikuwa na double standard sana angalia mfano daudi bashite, pia yoyote aliyetofautiana naye alikuwa adui mkubwa..hafu alijaza wakristo tu asilimia kubwa tena wanaume hakuwa ana amini wanawake kabisa. Chief hangaya ana balance mambo kwa dini zote Hadi jinsia bado watu Wana musema tu.Mkuu uko sawa, mfano wakurugenzi na madc aliteua zaidi ya 50% ngoshaz! Wengine dhaifu kabisa! Mm nina mifano halisi. Mm siyo muislam lakini acha mama ateue tu. Jiwe alipandikiza mbegu mbaya sana ya ukabila na chuki nyingi mno kwa watu waliotofautiana naye kimtazamo. Kwa kweli apumzike tu anapostahili. Mbaya zaidi katika maraisi wote walioongoza tz, yeye ndiye ameongoza muda mfupi(ukimtoa samia anayeendelea) lakn ndiye raisi aliyemtaja Mungu hadharani mara nyingi kuliko wote ila matendo yake sasa!
Sinaona tu hali ilivo kwa sasa tuko free sana tu hata kupiga story kwa uwazi.Umejuaje kama haonei mtu,unatumia kipimo gani kujua kwamba haonei mtu,sema labda hakuonei wewe
Nilikuwa nina kujibu uliposema teuzi za Magufuli watu walikuwa hawalalamiki. Sio kweli..watu walilalamika hapa sana. Mpaka kuwapakazi watu ni wasukuma au mtoto wa dada yake!!Sukuma gang wote walijiona Marais
Mimi sioni tatizo hata akiteuwa wakristo au waislam wengi kama ni wachapa kazi na sio wala rushwa!!Aliwajaza kila corner mkuu bila kujali hata uwezo na alikuwa na double standard sana angalia mfano daudi bashite, pia yoyote aliyetofautiana naye alikuwa adui mkubwa..hafu alijaza wakristo tu asilimia kubwa tena wanaume hakuwa ana amini wanawake kabisa. Chief hangaya ana balance mambo kwa dini zote Hadi jinsia bado watu Wana musema tu.
Kila jambo huhitaji balance nchi hii ina makabila mengi na wasomi pia why ubase one side?Nilikuwa nina kujibu uliposema teuzi za Magufuli watu walikuwa hawalalamiki. Sio kweli..watu walilalamika hapa sana. Mpaka kuwapakazi watu ni wasukuma au mtoto wa dada yake!!
Hizo za juu huwa kawaida tu tunasemea position nyingi zilivokuwa lazima ziwe na diversity na sio ku base one side. We need equal sharing ya nchi yetuMimi sioni tatizo hata akiteuwa wakristo au waislam wengi kama ni wachapa kazi na sio wala rushwa!!
Lakini tusisingizie mtu uongo. Kipindi cha Magufuli ngazi zote za juu walikuwa waislam:
1) Makamu wa rais - Mwislam
2)Rais wa Zanzibar- Mwislam
3) Waziri Mkuu - Mwislam
4) Jaji Mkuu - Mwislam
5)Katibu Mkuu kiongozi - Mwislam
6) Mkuu wa Usalama wa Taifa - Mwislam
7)……
Hafu Zanzibar kule almost ni waislamu tu kule Sasa ulitaka achague wapi?Mimi sioni tatizo hata akiteuwa wakristo au waislam wengi kama ni wachapa kazi na sio wala rushwa!!
Lakini tusisingizie mtu uongo. Kipindi cha Magufuli ngazi zote za juu walikuwa waislam:
1) Makamu wa rais - Mwislam
2)Rais wa Zanzibar- Mwislam
3) Waziri Mkuu - Mwislam
4) Jaji Mkuu - Mwislam
5)Katibu Mkuu kiongozi - Mwislam
6) Mkuu wa Usalama wa Taifa - Mwislam
7)……
Yuko fair somehow no vitisho na kuzalilisha watu hadharani ana kautu kidogoUmejuaje kama haonei mtu,unatumia kipimo gani kujua kwamba haonei mtu,sema labda hakuonei wewe
Mkuu sijakuelewaKumbe na wewe uko hivi na hyo ndio true color yako
Awamu hii hata wakina Mushi na Mrosso mmekumbukwa.Aliwajaza kila corner mkuu bila kujali hata uwezo na alikuwa na double standard sana angalia mfano daudi bashite, pia yoyote aliyetofautiana naye alikuwa adui mkubwa..hafu alijaza wakristo tu asilimia kubwa tena wanaume hakuwa ana amini wanawake kabisa. Chief hangaya ana balance mambo kwa dini zote Hadi jinsia bado watu Wana musema tu.