Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Wakati Dr Slaa anavunjwa mikono , rais alikuwa mkristo ?Hafu Zanzibar kule almost ni waislamu tu kule Sasa ulitaka achague wapi?
Hafu Mimi hupenda viongozi wa kiislamu sana ingawa ni mkristo, Rais alikuwa mkristo ila uonevu wake na mauaji ya watu Hadi kwa viroba na alikuwa anataja Mungu na kuhutubia kanisani daily ila anavunja katiba